DK Bilal awafunda waajiri
Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amewataka waajiri nchini kuridhia kuwaajiri Watanzania waliopatiwa mafunzo ya utambuzi wa ujuzi nje ya mfumo rasmi, ili kupunguza tatizo la ajira na kutumia uzoefu wao kikazi kuongeza uzalishaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Mchungaji awafunda wajumbe
MCHUNGAJI wa Kanisa la TAG mjini hapa, Vangast Salum, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatekeleza kile walichotumwa na wananchi. Alitoa kauli hiyo mjini hapa jana na kusema...
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Ney wa Mitego awafunda wasanii
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Emanueli Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amewataka wasanii wenzake kuwa na upendo na kutoa msaada kwa jamii.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Ney alisema kuwa yeye ni kioo cha jamii na katika matatizo ya kibinadamu anakuwa kama mtu wa kawaida kwa kusaidia.
“Unajua sisi ni binadamu na kama umefanikiwa kwa kiasi fulani basi na wewe unatakiwa kutoa msaada kidogo ulichokua nacho, hivyo nawaasa wasanii wenzangu kujitolea,”...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Kipa Stars awafunda wenzake
KIPA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars na Azam FC, Aishi Manula, amewataka wachezaji wenzake watafute mabao ya mapema katika mechi yao ya marudiano ugenini dhidi ya Msumbiji...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mbene awafunda wafanyabiashara nchini
WAKATI wafanyabiashara wa Afrika Kusini wakionyesha nia ya kuzidi kuja kuwekeza na kufanya biashara nchini, serikali imewashauri wafanyabiashara kuhakikisha wanashirikiana nao ili kusaidia nchi kupiga hatua kiuchumi na kimaendeleo. Naibu...
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Mkenya awafunda wanariadha wa Tanzania
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Chikawe awafunda waliopewa uraia
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Jenerali Mwamunyange awafunda wakufunzi
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
IGP Mangu awafunda Polisi
MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Mnyika awafunda wanawake Ubungo
NAIBU Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bara, John Mnyika, amesema ushindi mkubwa wa chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa, utawapa nguvu madiwani na wabunge kutetea...