Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chikawe awafunda waliopewa uraia

Wakimbizi waliopewa uraia wa Tanzania wameaswa kuzingatia sheria na tararibu za nchi ikiwa ni pamoja na kutokushiriki kupiga kura katika uchaguzi mkuu mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Waliopewa ardhi na Karume waporwa na vigogo

>Moja ya malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya Januri 12,1964 ni kuleta usawa na wananchi wanyonge kupewa ardhi yenye rutuba iwasaidie kwa kilimo na kujiletea maendeleo.

 

9 years ago

Habarileo

‘Waliopewa ubunge upinzani wakiwa CCM ni mamluki’

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema viongozi wa jumuiya zake walioteuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika ubunge wa Viti Maalumu, walikuwa mamluki na maharamia kwa kukiuka kiapo cha chama.

 

10 years ago

Michuzi

WALIOPEWA TUZO JANA KATIKA SHEREHE YA TASWA)

A; WACHEZAJI BORA1; Samson Ramadhan (riadha).2; Martin Sulle (riadha)3; Mary Naali (riadha)4; Kikosi cha Taifa Stars kilichocheza mechi za kufuzu CHAN 2009 (soka)5; Mwanaid Hassan (netiboli)6; Hasheem Thabeet (kikapu)7; Timu ya Taifa ya gofu wanawake iliyoshika nafasi ya pili mashindano ya Afrika yaliyofanyika Abuja, Nigeria mwaka 2010.:8; Twiga Stars:9; Francis Cheka10; Mbwana Samatta Cio…B;TUZO ZA VIONGOZI1;  Jenerali mstaafu, George Waitara2.  Kanali mstaafu, Idd Kipingu3;  Dioniz Malinzi4.  Leodeger...

 

11 years ago

Mwananchi

DK Bilal awafunda waajiri

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amewataka waajiri nchini kuridhia kuwaajiri Watanzania waliopatiwa mafunzo ya utambuzi wa ujuzi nje ya mfumo rasmi, ili kupunguza tatizo la ajira na kutumia uzoefu wao kikazi kuongeza uzalishaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchungaji awafunda wajumbe

MCHUNGAJI wa Kanisa la TAG mjini hapa, Vangast Salum, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatekeleza kile walichotumwa na wananchi. Alitoa kauli hiyo mjini hapa jana na kusema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

IGP Mangu awafunda Polisi

MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kipa Stars awafunda wenzake

KIPA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars na Azam FC, Aishi Manula, amewataka wachezaji wenzake watafute mabao ya mapema katika mechi yao ya marudiano ugenini dhidi ya Msumbiji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rage awafunda wachezaji Dar

MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’, jana alikutana na wachezaji akiwasihi kujituma ili kupata matokeo mazuri katika vita ya kupigania ubingwa wa Ligi Kuu ya Bara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama Salma awafunda walimu

MWENYEKITI wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Salma Kikwete, amewataka wadau wa maendeleo kuzisaidia shule za sekondari za Wama na Kayama zilizoanzishwa na taasisi hiyo ili kuwezesha watoto kuondokana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani