Kipa Stars awafunda wenzake
KIPA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars na Azam FC, Aishi Manula, amewataka wachezaji wenzake watafute mabao ya mapema katika mechi yao ya marudiano ugenini dhidi ya Msumbiji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Arsenal kumsajili kipa wa Chelsea
Arsenal wanakaribia kuweka makubaliano ya kumsajili kipa wa Chelsea Petr Cech.
10 years ago
GPL
Man U yamsajili kipa wa Barcelona
Victor Valdes akisaini kuichezea Man U.
MANCHESTER, England Â
KLABU ya Manchester United imethibitisha kumsajili kipa wa zamani wa Barcelona, Victor Valdes kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu. Valdes mwenye umri wa miaka 32, alikuwa akifanya mazoezi na klabu hiyo tangu Oktoba, mwaka jana baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akisumbuliwa na maumivu ya goti. Valdes ameeleza kuwa amefurahishwa na usajili huo na yupo...
10 years ago
Mwananchi16 Aug
Kipa JKU atua Msimbazi
Kipa wa JKU ya visiwani Zanzibar, Abdulrahman Mohamed jana alitarajia kusaini mkataba wa miaka miwili ya kuichezea Simba kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Kipa wa Mexico ainyima Brazil ushindi
Kipa wa Mexico alilazimika kufanya kazi ya ziada kuinyima Brazil alama zote tatu timu hizo zilipochuana
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Pazi: Kipa Ivo, Casilas patamu
Kocha wa makipa wa Simba, Iddi Pazi amesema ujio wa kipa mpya Hussein Sharrif ‘Casilas’ utampa changamoto kipa Ivo Mapunda.
11 years ago
Mwananchi02 May
Mourinho adai kipa ndiye aliyewatoa
>Kocha Jose Mourinho amesema kudaka mipira migumu na kuondoa hatari nyingi langoni kwake kumemfanya kipa wa Atletico Madrid, Thibaut Courtois kuiondoa Chelsea katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi usiku.
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Bao Tchetche lamkuna Kipa Tusker
>Kipa wa Tusker, Samwel Odhiambo amesema kipigo walichokipata cha bao 1-0 kutoka kwa Azam si msiba, na kumsifu Kipre Tchetche kwa ustadi aliotumia kufunga bao hilo.
11 years ago
GPL
Kipa aliyedaka penalti ya Messi asimulia
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’. Na Lucy Mgina
KIPA wa Rhino Rangers, Charles Mpinuki, amesema alijua kabisa kuwa angedaka penalti ya kiungo mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano ‘Messi’, walipocheza nao wikiendi iliyopita.
Simba na Rhino ya Tabora zilimenyana wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Taifa ambapo vijana hao wa Msimbazi waliibuka na ushindi wa bao 1-0....
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Kipa APR aziota Yanga, Simba
Kipa namba moja wa Rwanda na APR, Olivier Kwizera amesema anatamani siku moja kucheza katika Ligi Kuu Tanzania Bara na akitaka siku moja kuja kuichezea Yanga au Simba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania