Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man U yamsajili kipa wa Barcelona

Victor Valdes akisaini kuichezea Man U.
MANCHESTER, England  
KLABU ya Manchester United imethibitisha kumsajili kipa wa zamani wa Barcelona, Victor Valdes kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu. Valdes mwenye umri wa miaka 32, alikuwa akifanya mazoezi na klabu hiyo tangu Oktoba, mwaka jana baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akisumbuliwa na maumivu ya goti. Valdes ameeleza kuwa amefurahishwa na usajili huo na yupo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Man United yamsajili kipa Romero

Kipa Sergio Romero, aliyekuwa akiichezea klabu ya Sampdoria, amejiunga na vijana wa Louis Van Gaal baada ya kukamilisha muda wa mkataba wake na Sampdoria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United yamsajili Memphis Depay

Manchester United imefikia makubaliano kumsajili mshambuliaji Memphis Depay toka PSV Eindhoven ya Uholanzi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Man City yamsajili Fernando wa Porto.

Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City wamemsajili Fernando kutoka Porto

 

11 years ago

BBCSwahili

Man city yabanwa na Barcelona

Manchester City imestahimili kipigo cha magoli 2-0 ikiwachezesha wanadinga 10 pekee uwanjani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Barcelona yatamba, Man City yabanduliwa

Barcelona imeilaza Manchester City kwa magoli mawili kwa moja na kufuzu kwa robo fainali ya kombe la Ulaya

 

11 years ago

GPL

MAN U, BARCELONA ROBO FAINALI ULAYA

MANCHESTER, England Moyes bana, asema: Man U itakuwa bingwa wa Ulaya
KITENDO cha Robin van Persie, kufunga mabao matatu ‘hat trick’ katika mechi dhidi ya Olympiacos, siyo tu kimempa sifa straika huyo ila kuna mengi nyuma ya pazia ambayo ameweza kuyafunika ndani ya dakika 90 za mechi hiyo ya juzi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Robin van Persie akishangilia moja ya bao lake aliloifungia timu yake katika mechi dhidi ya...

 

11 years ago

GPL

MAN CITY HOI KWA BARCELONA, YALALA 2-0

Wachezaji wa Barcelona, Fabregas na Iniesta wakimpongeza Messi baada ya kufunga bao la kwanza. Beki wa Man City, Martin Demichelis akimchezea Messi rafu iliyopelekea penalti na kadi nyekundu.…

 

5 years ago

Goal.Com

Eric Garcia: Discovered in Barcelona, polished at Man City

Eric Garcia: Discovered in Barcelona, polished at Man City  goal.comKyle Walker on lockdown life: Time to bite the bullet and think of others  Sky SportsMan City tipped to ruin Chelsea's summer transfer plans by hijacking £80m move  Football.LondonPeople's health is more important than finishing Premier League season, says Man City star Walker  GoalHas Pep really underachieved in the Champions League?  Football365.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Man Utd 'on red alert' as Barcelona name transfer price for Antoine Griezmann

Man Utd 'on red alert' as Barcelona name transfer price for Antoine Griezmann  Mirror OnlineBarcelona 'are willing to accept £90m bid' for Antoine Greizmann with Manchester United on red alert  Daily MailManchester United to make sensational transfer from Spanish giants  Red Devil ArmadaThe Arsenal morning headlines as door opened for Antoine Griezmann transfer and Petit admission  Football.London£93m star coached Arsenal on Football Manager…..now Edu reportedly wants him  HITC - Football,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani