Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man United yamsajili kipa Romero

Kipa Sergio Romero, aliyekuwa akiichezea klabu ya Sampdoria, amejiunga na vijana wa Louis Van Gaal baada ya kukamilisha muda wa mkataba wake na Sampdoria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Man U yamsajili kipa wa Barcelona

Victor Valdes akisaini kuichezea Man U.
MANCHESTER, England  
KLABU ya Manchester United imethibitisha kumsajili kipa wa zamani wa Barcelona, Victor Valdes kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu. Valdes mwenye umri wa miaka 32, alikuwa akifanya mazoezi na klabu hiyo tangu Oktoba, mwaka jana baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akisumbuliwa na maumivu ya goti. Valdes ameeleza kuwa amefurahishwa na usajili huo na yupo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United yamsajili Memphis Depay

Manchester United imefikia makubaliano kumsajili mshambuliaji Memphis Depay toka PSV Eindhoven ya Uholanzi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Man City yamsajili Fernando wa Porto.

Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City wamemsajili Fernando kutoka Porto

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool,Man City zashinda Man United nje

Kocha mpya wa Liverpool Jurgen Klopp,ameandikisha ushindi wake wa kwanza,huku Man United ikiambulia kichapo mikononi mwa Middlesbrough

 

9 years ago

TheCitizen

Man City slip allows Man United to claim summit

Manchester United exploited Manchester City’s 4-1 defeat at Tottenham Hotspur by beating Sunderland 3-0 on Saturday to replace their rivals at the top of the Premier League table.

 

10 years ago

BBCSwahili

FA: Man United kuivaa Cambridge United

Manchester United itashuka dimbani kuikabili timu ya Cambridge United katika mchezo wa marudio kombe la FA.

 

5 years ago

FootballFanCast.Com

Man United predicted XI to face Man City

Man United predicted XI to face Man City  FootballFanCast.comPredicted Manchester United starting line-up vs Manchester City  Sportslens.comMan Utd star Fernandes was never a transfer target for Man City - Guardiola  Goal.comManchester United left dangling as Mauricio Pochettino heads for Spain  The Peoples PersonThe Starting XI Ole Gunnar Solskjaer Should Pick to Face Manchester City in the Derby on Sunday  90minView Full coverage on Google News

 

9 years ago

BBCSwahili

UEFA : Man United, Man City zachapwa

Timu za Uingereza za Man United na Man City zimeanza vibaya michuano ya kombe la klabu bigwa barani Ulaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani