Man United yamsajili kipa Romero
Kipa Sergio Romero, aliyekuwa akiichezea klabu ya Sampdoria, amejiunga na vijana wa Louis Van Gaal baada ya kukamilisha muda wa mkataba wake na Sampdoria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tQXf2oBdfH1UC*DITbhfhV1CDLAV3adbXnWDsu4beDjK2gSuSqzZFu65AUWTqfPfzkfUMPC-qNBAQauxkIs0lP-/hat.jpg)
Man U yamsajili kipa wa Barcelona
Victor Valdes akisaini kuichezea Man U.
MANCHESTER, England Â
KLABU ya Manchester United imethibitisha kumsajili kipa wa zamani wa Barcelona, Victor Valdes kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu. Valdes mwenye umri wa miaka 32, alikuwa akifanya mazoezi na klabu hiyo tangu Oktoba, mwaka jana baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akisumbuliwa na maumivu ya goti. Valdes ameeleza kuwa amefurahishwa na usajili huo na yupo...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Man United yamsajili Memphis Depay
Manchester United imefikia makubaliano kumsajili mshambuliaji Memphis Depay toka PSV Eindhoven ya Uholanzi.
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
Man City yamsajili Fernando wa Porto.
Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City wamemsajili Fernando kutoka Porto
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Liverpool,Man City zashinda Man United nje
Kocha mpya wa Liverpool Jurgen Klopp,ameandikisha ushindi wake wa kwanza,huku Man United ikiambulia kichapo mikononi mwa Middlesbrough
9 years ago
TheCitizen28 Sep
Man City slip allows Man United to claim summit
Manchester United exploited Manchester City’s 4-1 defeat at Tottenham Hotspur by beating Sunderland 3-0 on Saturday to replace their rivals at the top of the Premier League table.
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
FA: Man United kuivaa Cambridge United
Manchester United itashuka dimbani kuikabili timu ya Cambridge United katika mchezo wa marudio kombe la FA.
5 years ago
FootballFanCast.Com07 Mar
Man United predicted XI to face Man City
Man United predicted XI to face Man City FootballFanCast.comPredicted Manchester United starting line-up vs Manchester City Sportslens.comMan Utd star Fernandes was never a transfer target for Man City - Guardiola Goal.comManchester United left dangling as Mauricio Pochettino heads for Spain The Peoples PersonThe Starting XI Ole Gunnar Solskjaer Should Pick to Face Manchester City in the Derby on Sunday 90minView Full coverage on Google News
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
UEFA : Man United, Man City zachapwa
Timu za Uingereza za Man United na Man City zimeanza vibaya michuano ya kombe la klabu bigwa barani Ulaya
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania