Mourinho adai kipa ndiye aliyewatoa
>Kocha Jose Mourinho amesema kudaka mipira migumu na kuondoa hatari nyingi langoni kwake kumemfanya kipa wa Atletico Madrid, Thibaut Courtois kuiondoa Chelsea katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi usiku.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Mourinho adai Diego Costa anaonewa
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amedai mshambuliaji wake Diego Costa amekuwa akionewa na maafisa wasimamizi wa soka.
10 years ago
Bongo515 Sep
Arsene Wenger adai Walcott ndiye tegemeo la Arsenal
Michuano ya vilabu bingwa Ulaya inaanza September 15 ambapo klabu ya Arsenal inaanza kwa kukabiliana na Dinamo Zagreb katika uwanja wa Stadio Maksimir siku ya Jumatano. Kocha wa timu hiyo Arsene Wenger amekuwa akikosolewa kwa kushindwa kununua mshambuliaji mpya, lakini anasema kuwa anakiamini kikosi chake na kwamba Theo Walcott ndio jibu la safu yake ya […]
11 years ago
Bongo505 Aug
Chris Brown adai kuwa Karrueche Tran hakumpiga chini bali yeye ndiye amempiga kibuti, zifahamu sababu
Vyanzo vya karibu na mwimbaji Chris Brown vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris ameshangazwa na habari za hivi karibuni kuwa amepigwa chini na mpenzi wake wa On/Off Karrueche Tran, na kudai kuwa yeye (Chris) ndiye aliyempiga kibuti mrembo huyo. Vyanzo hivyo vimesema kuwa Breezy amemuacha Karrueche baada ya kugundua alikuwa anawasiliana na kuwatumia picha wanaume […]
11 years ago
Bongo501 Nov
Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha
Baada ya kuachia video mpya ‘Njoo’ iliyoongozwa na director Enos Olik, Shaa amezungumzia mambo kadhaa kuhusu collabo hiyo mpya na star mkubwa wa Kenya, Redsan ikiwemo sababu za kumchagua kumshirikisha pamoja na mtu aliyemsaidia kumpata Redsan kiurahisi na kufanya nae kazi. Shaa amesema baada ya kufanya utafiti aligundua Redsan ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya ambaye […]
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Kipa Stars awafunda wenzake
KIPA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars na Azam FC, Aishi Manula, amewataka wachezaji wenzake watafute mabao ya mapema katika mechi yao ya marudiano ugenini dhidi ya Msumbiji...
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Arsenal kumsajili kipa wa Chelsea
Arsenal wanakaribia kuweka makubaliano ya kumsajili kipa wa Chelsea Petr Cech.
10 years ago
Mwananchi16 Aug
Kipa JKU atua Msimbazi
Kipa wa JKU ya visiwani Zanzibar, Abdulrahman Mohamed jana alitarajia kusaini mkataba wa miaka miwili ya kuichezea Simba kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
10 years ago
GPL
Man U yamsajili kipa wa Barcelona
Victor Valdes akisaini kuichezea Man U.
MANCHESTER, England Â
KLABU ya Manchester United imethibitisha kumsajili kipa wa zamani wa Barcelona, Victor Valdes kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu. Valdes mwenye umri wa miaka 32, alikuwa akifanya mazoezi na klabu hiyo tangu Oktoba, mwaka jana baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akisumbuliwa na maumivu ya goti. Valdes ameeleza kuwa amefurahishwa na usajili huo na yupo...
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Kipa wa Mexico ainyima Brazil ushindi
Kipa wa Mexico alilazimika kufanya kazi ya ziada kuinyima Brazil alama zote tatu timu hizo zilipochuana
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
09-May-2025 in Tanzania