Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pazi: Kipa Ivo, Casilas patamu

Kocha wa makipa wa Simba, Iddi Pazi amesema ujio wa kipa mpya Hussein Sharrif ‘Casilas’ utampa changamoto kipa Ivo Mapunda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga, Maximo wafikia patamu

KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, anatarajiwa kusaini mkataba mwishoni mwa wiki kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Twiga na Jangwani jijini...

 

10 years ago

Habarileo

Ligi Kuu yaingia patamu

KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinaendelea tena leo kwenye viwanja vitano tofauti, huku miamba ya soka Yanga na Simba ikirejea tena kusaka pointi tatu. Yanga ambayo kabla ya mechi ya Jumatano iliyotoka sare ya mabao 2-2 na Mwadui FC Uwanja wa Kambarage Shinyanga ilikuwa na pointi 19 sawa na Azam FC ikiongoza ligi hiyo, ilijikuta ikipata matokeo hayo ambayo yaliwapa majonzi mashabiki wao.

 

9 years ago

Mwananchi

Ngonjera za uwanja Simba zafikia patamu

Ngonjera kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa klabu ya Simba zimehamia mwaka 2016, huku ikielezwa kuwa tayari klabu hiyo imepata mwekezaji. Uwanja huo ulioko Bunju, nje kidogo ya Dar es Salaam umegeuka hekaya za viongozi wa klabu hiyo kwa muda mrefu sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kumsajili kipa wa Chelsea

Arsenal wanakaribia kuweka makubaliano ya kumsajili kipa wa Chelsea Petr Cech.

 

10 years ago

Mwananchi

Kipa JKU atua Msimbazi

Kipa wa JKU ya visiwani Zanzibar, Abdulrahman Mohamed jana alitarajia kusaini mkataba wa miaka miwili ya kuichezea Simba kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.

 

10 years ago

GPL

Man U yamsajili kipa wa Barcelona

Victor Valdes akisaini kuichezea Man U.
MANCHESTER, England  
KLABU ya Manchester United imethibitisha kumsajili kipa wa zamani wa Barcelona, Victor Valdes kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu. Valdes mwenye umri wa miaka 32, alikuwa akifanya mazoezi na klabu hiyo tangu Oktoba, mwaka jana baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu akisumbuliwa na maumivu ya goti. Valdes ameeleza kuwa amefurahishwa na usajili huo na yupo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kipa Stars awafunda wenzake

KIPA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars na Azam FC, Aishi Manula, amewataka wachezaji wenzake watafute mabao ya mapema katika mechi yao ya marudiano ugenini dhidi ya Msumbiji...

 

11 years ago

GPL

Matola, Pazi wachunguzwa Simba

Kocha mzawa wa kikosi cha Simba, Selemani Matola. Martha Mboma na Sweetbert Lukonge
MAKOCHA wazawa wa kikosi cha Simba, Selemani Matola na Idd Pazi, wanachunguzwa na uongozi wa klabu hiyo baada ya kudaiwa kuwa wanaihujumu ili ishindwe kufanya vizuri katika mechi zake za Ligi Kuu Bara. Makocha hao pia waliwahi kuitumikia Simba kama wachezaji miaka ya nyuma na sasa ni makocha wakisaidiana na Mzambia, Patrick Phiri kukinoa kikosi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani