Pazi: Kipa Ivo, Casilas patamu
Kocha wa makipa wa Simba, Iddi Pazi amesema ujio wa kipa mpya Hussein Sharrif ‘Casilas’ utampa changamoto kipa Ivo Mapunda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Yanga, Maximo wafikia patamu
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, anatarajiwa kusaini mkataba mwishoni mwa wiki kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Twiga na Jangwani jijini...
10 years ago
Habarileo31 Oct
Ligi Kuu yaingia patamu
KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinaendelea tena leo kwenye viwanja vitano tofauti, huku miamba ya soka Yanga na Simba ikirejea tena kusaka pointi tatu. Yanga ambayo kabla ya mechi ya Jumatano iliyotoka sare ya mabao 2-2 na Mwadui FC Uwanja wa Kambarage Shinyanga ilikuwa na pointi 19 sawa na Azam FC ikiongoza ligi hiyo, ilijikuta ikipata matokeo hayo ambayo yaliwapa majonzi mashabiki wao.
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Ngonjera za uwanja Simba zafikia patamu
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Arsenal kumsajili kipa wa Chelsea
10 years ago
Mwananchi16 Aug
Kipa JKU atua Msimbazi
10 years ago
GPL
Man U yamsajili kipa wa Barcelona
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Kipa Stars awafunda wenzake
KIPA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars na Azam FC, Aishi Manula, amewataka wachezaji wenzake watafute mabao ya mapema katika mechi yao ya marudiano ugenini dhidi ya Msumbiji...
11 years ago
GPL
Matola, Pazi wachunguzwa Simba