Ngonjera za uwanja Simba zafikia patamu
Ngonjera kuhusu ujenzi wa uwanja wa kisasa wa klabu ya Simba zimehamia mwaka 2016, huku ikielezwa kuwa tayari klabu hiyo imepata mwekezaji. Uwanja huo ulioko Bunju, nje kidogo ya Dar es Salaam umegeuka hekaya za viongozi wa klabu hiyo kwa muda mrefu sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s72-c/IMG_3712.jpg)
Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s1600/IMG_3712.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iRYbrDUfPqk/Uwn-Gn-TwHI/AAAAAAAFPFE/eMIQriaeepY/s1600/IMG_3714.jpg)
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.
10 years ago
MichuziMchezo wa Kirafiki Kati ya Simba na Polisi Usiku Huu Uwanja wa Amaan Simba Ikiwa mbele kwa bao 2--0
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Uwanja wa Simba wavamiwa
11 years ago
Bongo518 Jul
Video: Ngonjera ya wanafunzi wa shule ya Ketumbeine iliyowekwa Instagram na Terrence J yawakuna Wamarekani
9 years ago
Habarileo30 Dec
Simba SC kuanza ujenzi wa uwanja
UJENZI wa Uwanja wa Simba uliopo maeneo ya Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam, unatarajia kuanza mapema Januari mwakani chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa klabu hiyo, Zakaria Hanspope.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Simba yalalamikia mapato ya Uwanja wa Sokoine
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Yanga, Maximo wafikia patamu
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, anatarajiwa kusaini mkataba mwishoni mwa wiki kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Twiga na Jangwani jijini...
9 years ago
Habarileo31 Oct
Ligi Kuu yaingia patamu
KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinaendelea tena leo kwenye viwanja vitano tofauti, huku miamba ya soka Yanga na Simba ikirejea tena kusaka pointi tatu. Yanga ambayo kabla ya mechi ya Jumatano iliyotoka sare ya mabao 2-2 na Mwadui FC Uwanja wa Kambarage Shinyanga ilikuwa na pointi 19 sawa na Azam FC ikiongoza ligi hiyo, ilijikuta ikipata matokeo hayo ambayo yaliwapa majonzi mashabiki wao.
10 years ago
Habarileo13 Nov
‘Barabara za lami zafikia asilimia 58’
SERIKALI imejenga barabara nchini kwa kiwango cha lami kwa asilimia 58. Pia, zipo barabara 11,154 zilizo katika viwango mbalimbali vya ujenzi kwa kiwango hicho cha lami katika maeneo mbalimbali.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10