Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rage awafunda wachezaji Dar

MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’, jana alikutana na wachezaji akiwasihi kujituma ili kupata matokeo mazuri katika vita ya kupigania ubingwa wa Ligi Kuu ya Bara...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Josephine Slaa awafunda wanawake Dar

MKE wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Josephine Slaa, amesema japo wanawake ndio chanzo cha ukuaji wa uchumi nchini, bado viongozi waliopo madarakani wanawakandamiza. Aliyasema hayo...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]

The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...

 

11 years ago

Michuzi

NSSF yakutana na wachezaji wa timu ya Yanga jijini Dar leo

KLABU ya yanga imeingia makubaliano ya kununua nyumba kwa ajili ya wachezaji wake na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) .
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF, Crescentius Magori amewaambia wachezaji hao kuwa "kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari" huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha...

 

10 years ago

Vijimambo

WACHEZAJI VETERANI WA FC BARCELONA WAMTEMBELEA RAIS KIKWETE IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wachezaji maveterani wa timu ya Barcelona wakati walimpomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam . Mchezaji nyota wa zamani wa Holland  na kocha wa Timu ya veterani ya Barcelona Johann Cruyft akimkabidhi jezi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam janaRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji maveterani wa timu ya Barcelona walipomtembelea ikulu jijini Dar es Salaam jana. Picha na Fred Maro

Rais wa...

 

10 years ago

Michuzi

Wachezaji veterani wa FC Barcelona wamtembelea Rais Kikwete ikulu. dar es salaam leo

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wachezaji maveterani wa timu ya Barcelona wakati walimpomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam leo. Mchezaji nyota wa zamani wa Holland  na kocha wa Timu ya veterani ya Barcelona Johann Cruyft akimkabidhi jezi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leoRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji maveterani wa timu ya Barcelona walipomtembelea ikulu jijini Dar es Salaam leo. Picha na Fred...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchungaji awafunda wajumbe

MCHUNGAJI wa Kanisa la TAG mjini hapa, Vangast Salum, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatekeleza kile walichotumwa na wananchi. Alitoa kauli hiyo mjini hapa jana na kusema...

 

10 years ago

Mwananchi

DK Bilal awafunda waajiri

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amewataka waajiri nchini kuridhia kuwaajiri Watanzania waliopatiwa mafunzo ya utambuzi wa ujuzi nje ya mfumo rasmi, ili kupunguza tatizo la ajira na kutumia uzoefu wao kikazi kuongeza uzalishaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkenya awafunda wanariadha wa Tanzania

Bingwa mara mbili wa Olimpiki, Mkenya Kipchoge Keino amewaambia wanariadha wawili wa Tanzania waliokokambini Kenya kuwa nguzo kuu ya kufanikiwa ni kuzingatia nidhamu, kujituma na kujiamini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbene awafunda wafanyabiashara nchini

WAKATI wafanyabiashara wa Afrika Kusini wakionyesha nia ya kuzidi kuja kuwekeza na kufanya biashara nchini, serikali imewashauri wafanyabiashara kuhakikisha wanashirikiana nao ili kusaidia nchi kupiga hatua kiuchumi na kimaendeleo. Naibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani