NSSF yakutana na wachezaji wa timu ya Yanga jijini Dar leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-HxPUz5neVbo/U8U0NwJVLMI/AAAAAAAF2Zs/Y-vCLK_mL48/s72-c/11.jpg)
KLABU ya yanga imeingia makubaliano ya kununua nyumba kwa ajili ya wachezaji wake na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) .
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF, Crescentius Magori amewaambia wachezaji hao kuwa "kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari" huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s72-c/2.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAKUTANA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s640/2.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana leo, Novemba 02,2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete imejadili kwa kina mapendekezo ya wana CCM walioomba ridhaa ya kugombea ubunge katika jimbo la Handeni mjini.
Kamati Kuu imetengua mapendekezo ya awali na kuagiza kurejewa kwa mchakato wa kura za maoni kwa wana -CCM wawili...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s72-c/DSC_0102.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VIONGOZI WA SIASA JIJINI DAR LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s640/DSC_0102.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_VimAVnaM0/VNydSNlDD-I/AAAAAAAHDUE/iGc03qaDEFY/s640/DSC_0091.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O4zzn9K04uI/VDKMxwsWQiI/AAAAAAAGoSI/dNn5wFz8Gl4/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
Menejiment ya NBC yakutana na Rais Kikwete Ikulu jijini dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4zzn9K04uI/VDKMxwsWQiI/AAAAAAAGoSI/dNn5wFz8Gl4/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qpC6ZTgYHuI/VDKMv8voqTI/AAAAAAAGoR8/wXrnivxdIkc/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
11 years ago
MichuziMAMLAKA YA HALI YA HEWA (TMA) YAKUTANA NA WANAHABARI KUTATHIMINI JIJINI DAR LEO
Baada ya kukutana na wanahabari hao katika warsha zaidi ya tatu ikiwemo ile ya lugha itumikayo katika kutoa utabiri wa msimu, TMA imeona ni wakati muafaka sasa kwa Mamlaka kuweza kupata mrejesho ili kuweza kuboresha ushirikiano wake na vyombo vya habari...
9 years ago
MichuziNEC YAKUTANA NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP,Dk.Reginard Mengi akichangia maada katika mkutano wa Wamiliki na Vyombo vya habari uliotishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) uliofanyika leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
9 years ago
MichuziNSSF, NEEC zaingia makubaliano ya ushirikiano leo Jijini Dar
Dau ametoa rai hiyo leo wakati alipokuwa akitia saini hati ya makubaliano ya ushirikiano kati NSSF na Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC).
“Hamkufanya makosa kujiunga Saccos, kwa kuwa nina imani mtapata nafasi ya kukopeshwa na mtapata maendeleo, hivyo ni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s72-c/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
YANGA SC YAINGIA MAKUBALIANO YA KUNUNUA NYUMBA KWA AJILI YA WACHEZAJI WAKE NA NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s1600/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
Akizungumza leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF , Crecentius Magori amewaambia wachezaji hao kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha
Dege Kigamboni jijini Dar es...
10 years ago
MichuziRAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PIL,ALHAJ MWINYI ATEMBELEA MIRADI MBALIMBALI YA NSSF JIJINI DAR LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sZIQ8J-a8YE/U7ZekmfFjSI/AAAAAAAFu2Q/xGd8dy_bn4c/s72-c/unnamed+(59).jpg)
TACAIDS yakutana na wanahabari jijini dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-sZIQ8J-a8YE/U7ZekmfFjSI/AAAAAAAFu2Q/xGd8dy_bn4c/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EmZpOnA2L-8/U7Zek1XD3iI/AAAAAAAFu2c/Wf1kOp4f7gA/s1600/unnamed+(61).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10