YANGA SC YAINGIA MAKUBALIANO YA KUNUNUA NYUMBA KWA AJILI YA WACHEZAJI WAKE NA NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s72-c/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
KLABU ya yanga imeingia makubaliano ya kununua nyumba kwa ajili ya wachezaji wake na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) .
Akizungumza leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF , Crecentius Magori amewaambia wachezaji hao kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha
Dege Kigamboni jijini Dar es...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziAWAMU YA KWANZA YA UANDIKISHAJI WA WACHEZAJI KWA AJILI YA KUJIUNGA NA KITUO CHA MICHEZO CHA NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY WAANZA RASMI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-EfMof1nH_7Y/VN8a8u-vCHI/AAAAAAABTSE/CxGu9WB8BsI/s1600/1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HxPUz5neVbo/U8U0NwJVLMI/AAAAAAAF2Zs/Y-vCLK_mL48/s72-c/11.jpg)
NSSF yakutana na wachezaji wa timu ya Yanga jijini Dar leo
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF, Crescentius Magori amewaambia wachezaji hao kuwa "kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari" huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7VHpXk3GVUE/U3ir6jxh-FI/AAAAAAAFjgg/lVjcpSAahY4/s72-c/New+Picture+(7).bmp)
JKT Ruvu yaingia mtaani kusajili kwa vipaji vya wachezaji
![](http://1.bp.blogspot.com/-7VHpXk3GVUE/U3ir6jxh-FI/AAAAAAAFjgg/lVjcpSAahY4/s1600/New+Picture+(7).bmp)
Zoezi la kusaka wachezaji hao ni la wazi na meneja wa timu hiyo, Joel Frank amewataka wachezaji wote wenye nia ya kucheza ligi kuu msimu ujao kufika kwa wingi katika uwanja huo kuanzia saa 1.30 asubuhi.
Frank alisema kuwa wameamua kutafuta wachezaji kwa mtindo huo kwa lengo la kuona uwezo wao halisi na wala si kwa kukisia kama...
10 years ago
VijimamboUONGOZI WA YANGA WASEMA HAWANA MPANGO WA KUWANUNULIA WACHEZAJI NYUMBA, MAGARI
11 years ago
Michuzi05 May
Taarifa ya Yanga Kuhusu Wachezaji Wake
![](https://1.bp.blogspot.com/-igni6nDOb2c/U2aW4jod9bI/AAAAAAACwWQ/ftwI16f6y80/s1600/Young-Africans-Sports-Club.jpg)
Yanga tayari ina wachezaji watatu wenye mikataba inayoendelea na kama kanuni za...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Tanzania yaingia makubaliano na Algeria
SERIKALI ya Tanzania na Algeria zimeingia makubaliano ya ushirikiano kwenye sekta ya madini na nishati, ambapo wataalamu na watafiti watapata fursa ya kubadilishana uzoefu kupitia sekta hizo ili kujenga uchumi....
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
BrighterMonday yaingia makubaliano na facebook
TOVUTI ya kutangaza nafasi za kazi ‘BrighterMonday’, imeanza ushirikiano na Facebook internet.org, ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata maudhui kadha ya intaneti. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0HT3cQq0OPE/Vmii-XK9VOI/AAAAAAABqMg/EJr7fN6wOPA/s72-c/20151209133224.jpg)
UTT-PID YAINGIA MAKUBALIANO NA WIZARA YA MAMBO YA NJE KWA DHUMUNI LA KUENDELEZA VIWANJA VINAVYOMILIKIWA NA WIZARA KATIKA BALOZI MBALIMBALI UGHAIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0HT3cQq0OPE/Vmii-XK9VOI/AAAAAAABqMg/EJr7fN6wOPA/s640/20151209133224.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qk-3-CMENEo/Vmj1MLuJS0I/AAAAAAABqNo/ieUfhsZPth8/s640/20151209134734.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-THc9jzDBbO0/Vmj1LtLZr3I/AAAAAAABqNk/m8P3R_9Y5UU/s640/20151209134738.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IF9dGWkgnsg/XqE2Z62YioI/AAAAAAALn7I/8y6FAc3-C90owxmWd2G7hit2Ftmi-16KwCLcBGAsYHQ/s72-c/25173a2e-5a3d-4947-a931-da1625adadd4.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZAANZISHA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUNUNUA VIFAA VYA WAHUDUMU WA AFYA KUJIKINGA NA CORONA
Charles James, Michuzi TV
Katika kuunga mkono juhudi za serikali kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona, Asasi za Kiraia zimeanzisha kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia mapambano hayo.
Kampeni hiyo imelenga kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwanunulia vifaa vya kujikinga na ugonjwa wa Corona wahudumu wa afya nchini.
Akizungumzia kampeni hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa AZAKI, Francis Kiwanga amesema wao kama Asasi za Kiraia wameguswa na mapambano ya ugonjwa huo hivyo wakaona ni...