Tanzania yaingia makubaliano na Algeria
SERIKALI ya Tanzania na Algeria zimeingia makubaliano ya ushirikiano kwenye sekta ya madini na nishati, ambapo wataalamu na watafiti watapata fursa ya kubadilishana uzoefu kupitia sekta hizo ili kujenga uchumi....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
BrighterMonday yaingia makubaliano na facebook
TOVUTI ya kutangaza nafasi za kazi ‘BrighterMonday’, imeanza ushirikiano na Facebook internet.org, ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata maudhui kadha ya intaneti. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Michuzi10 Sep
NHIF YAINGIA MAKUBALIANO YA UDHAMINI WA BIMA VPL
![](http://tff.or.tz/images/nhif.png)
Akiongea na waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika leo ofisi za TFF zilizopo Karume, Katibu Mkuu wa TFF Mwesigwa Selestine amesema wanaishukuru NHIF kwa kuwapa udhamini huo ambao utavisaidia vilabu vya Ligi Kuu katika matibabu ya wachezaji na bechi ka ufundi.
Tumekua na kilio...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kU-8khd9th8/VXnAaCkSCHI/AAAAAAAHezE/H5TFZsb4c9U/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-kU-8khd9th8/VXnAaCkSCHI/AAAAAAAHezE/H5TFZsb4c9U/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TvH1UAP5swE/Uv0wDxNRmxI/AAAAAAAFNBk/C34pdJHWzIY/s72-c/MMG21480.jpg)
TIC YAINGIA MKATABA WA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-TvH1UAP5swE/Uv0wDxNRmxI/AAAAAAAFNBk/C34pdJHWzIY/s1600/MMG21480.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vfub7OvR_Pc/U0VYhZAu1cI/AAAAAAAFZe0/21AApJSXIR4/s72-c/unnamed+(40).jpg)
Twanga pepeta yaingia makubaliano na Proin Promotions kupambana na wezi wa kazi zao
BENDI ya muziki wa dansi nchini ya African Stars 'Twanga Pepeta', wameingia mkataba maalumu na kampuni ya Proin Promotions Limited kwa ajili ya utengenezaji wa kazi zao.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Twanga Pepeta, Asha Baraka, alisema mkataba huo una manufaa kwa bendi hiyo kutokana na kutaka kuwanufaisha wanamuziki na wasanii wa nchini kwa ujumla.
Baraka alisema kampuni hiyo ambayo awali ilikuwa ikijishughulisha na usambazaji wa kazi za filamu,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s72-c/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
YANGA SC YAINGIA MAKUBALIANO YA KUNUNUA NYUMBA KWA AJILI YA WACHEZAJI WAKE NA NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s1600/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
Akizungumza leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF , Crecentius Magori amewaambia wachezaji hao kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha
Dege Kigamboni jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x4mFp7c62ww/VXqYkX4r3wI/AAAAAAAHe3k/rokZHkcdQ5o/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini ya ulipaji wa ushuru wa huduma (Service levy)
Kampuni ya Acacia Mining Ltd imetiliana saini ya Makubaliano (MoU) na Halmashauri za Wilaya ya Tarime, Kahama na Msalala ili kuweza kutekeleza ulipaji wa ushuru wa huduma (service levy) kwa kiwango cha asilimia 0.3 ya mapato ghafi ya kampuni hiyo kwa mwaka mzima kwa mujibu wa sheria ya Serikali za Mitaa. Tukio hilo limefanyika tarehe 10 Juni, 2015 jijini Dar es Salaam makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini na kushuhudiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, Makamu wa Rais wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0HT3cQq0OPE/Vmii-XK9VOI/AAAAAAABqMg/EJr7fN6wOPA/s72-c/20151209133224.jpg)
UTT-PID YAINGIA MAKUBALIANO NA WIZARA YA MAMBO YA NJE KWA DHUMUNI LA KUENDELEZA VIWANJA VINAVYOMILIKIWA NA WIZARA KATIKA BALOZI MBALIMBALI UGHAIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0HT3cQq0OPE/Vmii-XK9VOI/AAAAAAABqMg/EJr7fN6wOPA/s640/20151209133224.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qk-3-CMENEo/Vmj1MLuJS0I/AAAAAAABqNo/ieUfhsZPth8/s640/20151209134734.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-THc9jzDBbO0/Vmj1LtLZr3I/AAAAAAABqNk/m8P3R_9Y5UU/s640/20151209134738.jpg)
11 years ago
BBCSwahili04 Dec
Tanzania yaingia robo fainali CECAFA
Timu ya taifa ya Tanzania bara "Kilimanjaro Stars" imesonga mbele robo fainali ya mashindano ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania