Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini ya ulipaji wa ushuru wa huduma (Service levy)

Kampuni ya Acacia Mining Ltd imetiliana saini ya Makubaliano (MoU) na Halmashauri za Wilaya ya Tarime, Kahama na Msalala ili kuweza kutekeleza ulipaji wa ushuru wa huduma (service levy) kwa kiwango cha asilimia 0.3 ya mapato ghafi ya kampuni hiyo kwa mwaka mzima kwa mujibu wa sheria ya Serikali za Mitaa.  Tukio hilo limefanyika tarehe 10 Juni, 2015 jijini Dar es Salaam makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini na kushuhudiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, Makamu wa Rais wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini

Makamu wa Rais wa Acacia, Deo Mwanyika (wa pili kushoto waliokaa) akitiliana saini ya Makubaliano na wawakilishi wa halmashauri za Wilaya ya Msalala na halmashauri ya Mji wa Kahama. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala, Patrick Karangwa anaemfuatia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama, Felix Kimaryo. Wanaoshuhudia ni Kamishna Msaidizi wa Madini- Ukaguzi wa Migodi, Ally Samaje (wa kwanza kulia waliosimama) na Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya (wa...

 

10 years ago

TheCitizen

Barrick to pay more in service levy

Three district councils will now share about Sh3.5 billion or more every year in service levy paid by Africa Barrick Gold, it has emerged.

 

11 years ago

Daily News

Service levy boosts Serengeti revenue


Service levy boosts Serengeti revenue
Daily News
SERENGETI District Council's coffer expected to burgeon following its move to start collecting service levy from some tourist hotels and tented camps operating in the famous wildlife- rich district. Mr John Ng'oina, the Serengeti District Council Chairman ...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YA JAPAN YAINGIA MIKATABA MINNE KUUNGA MKONO HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA VIJIJI NCHINI TANZANIA


Serikali ya Japan kupitia balozi wake nchini Tanzania Mh. Goto Shinichi Februari 28,2020 jijini Dar es Salaam imeingia mikataba minne tofauti katika muendelezo wa kuendelea kuunga mkono huduma za kijamii katika vijiji mbalimbali nchini Tanzania.

Serikali hiyo ya Japan ikiwakilishwa na Balozi Goto Shinichi imeingia mkataba wa kusambaza magari ya wagonjwa katika hospitali ya KCMC wenye thamani ya dola za Kimarekani 52,996.

Mkataba mwengine ni pamoja na kusaidia mazingira ya elimu katika wilaya...

 

10 years ago

Michuzi

ACACIA MINING ORGANISES MT KILIMANJARO CLIMB TO RAISE FUNDS FOR EDUCATION IN TANZANIA.

 A team of 21 Acacia staff, friends and family led by Chief Executive Officer, Brad Gordon, are embarking on the journey of a lifetime to reach Uhuru Peak; the summit of Mount Kilimanjaro, to raise funds for education.


Through its CanEducate, a charity that provides educational sponsorships to impoverished and at-risk children in developing countries including Tanzania, the company targets to raise $200,000.


As it costs $75 a year to send a student to school in Tanzania, the targeted donation...

 

10 years ago

TheCitizen

200 tourist hotels up in arms over hefty city service levy

More than 200 tourist hotels have petitioned the High Court to stop local governments charging the city service levy, which is said to have had a devastating effect on their business.

 

10 years ago

TheCitizen

Gold mine pays Sh863m service levy to Tarime council

>North Mara Gold Mine Limited (NMGML), a subsidiary of Acacia Mining Plc, paid Sh863 million to  the Tarime District Council being payment to service levy for July to December 2014.

 

10 years ago

Michuzi

ERNEST AND YOUNG RELEASES 2014 ACACIA MINING INVESTMENT AND ECONOMIC CONTRIBUTION IN TANZANIA

Ernest and Young (EY), Country Managing Partner, Joseph Sheffu, presents EY 2014 report on Acacia Mining Investment and Economic Contribution in Tanzania, at a News Conference in Dar es Salaam’s Serena Hotel, Wednesday May 6, 2015. Among other things, in 2014, Acacia Mining purchased TZS 795bn of goods and services from suppliers located in Tanzania.Acacia’s Chief Executive Officer, (CEO), Brad Gordon, makes his remarks on the report.Acacia’s Vice President (Corporate Affairs), Deo Mwanyika,...

 

10 years ago

Michuzi

ACACIA HONOURS IT'S DAR OFFICE EMPLOYEES FOR LONG SERVICE

ACACIA has been operating in Tanzania for over a decade and during that time the company has made a significant progress in mining industry in the country. To value this achievements, in the beginning of this year 2015, Acacia has recognized it's employees by rewarding them, some for long service and others for their outstanding performance under the company's six desired behaviors' culture.
All team members are exposed to a unique world class Cultural Transformation Programme, called...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani