Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-kU-8khd9th8/VXnAaCkSCHI/AAAAAAAHezE/H5TFZsb4c9U/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Makamu wa Rais wa Acacia, Deo Mwanyika (wa pili kushoto waliokaa) akitiliana saini ya Makubaliano na wawakilishi wa halmashauri za Wilaya ya Msalala na halmashauri ya Mji wa Kahama. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Msalala, Patrick Karangwa anaemfuatia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama, Felix Kimaryo. Wanaoshuhudia ni Kamishna Msaidizi wa Madini- Ukaguzi wa Migodi, Ally Samaje (wa kwanza kulia waliosimama) na Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya (wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x4mFp7c62ww/VXqYkX4r3wI/AAAAAAAHe3k/rokZHkcdQ5o/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini ya ulipaji wa ushuru wa huduma (Service levy)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nocnZAEPepQ/VYzZ65I35bI/AAAAAAAARhs/wzKGgmvN-ZM/s72-c/E86A1725%2B%25281280x853%2529.jpg)
ACACIA MINING ORGANISES MT KILIMANJARO CLIMB TO RAISE FUNDS FOR EDUCATION IN TANZANIA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-nocnZAEPepQ/VYzZ65I35bI/AAAAAAAARhs/wzKGgmvN-ZM/s640/E86A1725%2B%25281280x853%2529.jpg)
Through its CanEducate, a charity that provides educational sponsorships to impoverished and at-risk children in developing countries including Tanzania, the company targets to raise $200,000.
As it costs $75 a year to send a student to school in Tanzania, the targeted donation...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I14sTKfkDnA/VUoMI3CkNzI/AAAAAAAATS4/1WEkDlYNO-E/s72-c/EY_01.jpg)
ERNEST AND YOUNG RELEASES 2014 ACACIA MINING INVESTMENT AND ECONOMIC CONTRIBUTION IN TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-I14sTKfkDnA/VUoMI3CkNzI/AAAAAAAATS4/1WEkDlYNO-E/s1600/EY_01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lYLcvKdfL2k/VUoMlt5cPrI/AAAAAAAATTA/FOE942Cf03I/s1600/Acacia_Brad%2BGordon.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-duTzsOH-W30/VUoM3jxlkQI/AAAAAAAATTQ/sDH0vfd_tTQ/s1600/Deo_Mwanyika.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Tanzania yaingia makubaliano na Algeria
SERIKALI ya Tanzania na Algeria zimeingia makubaliano ya ushirikiano kwenye sekta ya madini na nishati, ambapo wataalamu na watafiti watapata fursa ya kubadilishana uzoefu kupitia sekta hizo ili kujenga uchumi....
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
BrighterMonday yaingia makubaliano na facebook
TOVUTI ya kutangaza nafasi za kazi ‘BrighterMonday’, imeanza ushirikiano na Facebook internet.org, ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata maudhui kadha ya intaneti. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
9 years ago
Michuzi10 Sep
NHIF YAINGIA MAKUBALIANO YA UDHAMINI WA BIMA VPL
![](http://tff.or.tz/images/nhif.png)
Akiongea na waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika leo ofisi za TFF zilizopo Karume, Katibu Mkuu wa TFF Mwesigwa Selestine amesema wanaishukuru NHIF kwa kuwapa udhamini huo ambao utavisaidia vilabu vya Ligi Kuu katika matibabu ya wachezaji na bechi ka ufundi.
Tumekua na kilio...
10 years ago
StarTV06 Feb
ACACIA yakabidhi Sh. Mil. 863 Halmashauri ya Tarime
Na Jumanne Ntono,
Mara.
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia inayofanya kazi zake katika mgodi wa North Mara Nyamongo wilayani Tarime mkoani Mara imesema itaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali za kuwasaidia wananchi kujiletea maendeleo kutokana na mabadiliko makubwa ya kiutendaji yaliyofanywa na kampuni hiyo hivi karibuni.
Akikabidhi hundi ya Shilingi milioni 863 kwa Halmashauri ya wilaya ya Tarime kama kodi ya tozo la huduma, Meneja mgodi wa Acacia North Mara, Gary Chapman amesema...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TvH1UAP5swE/Uv0wDxNRmxI/AAAAAAAFNBk/C34pdJHWzIY/s72-c/MMG21480.jpg)
TIC YAINGIA MKATABA WA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-TvH1UAP5swE/Uv0wDxNRmxI/AAAAAAAFNBk/C34pdJHWzIY/s1600/MMG21480.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s72-c/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
YANGA SC YAINGIA MAKUBALIANO YA KUNUNUA NYUMBA KWA AJILI YA WACHEZAJI WAKE NA NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s1600/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
Akizungumza leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF , Crecentius Magori amewaambia wachezaji hao kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha
Dege Kigamboni jijini Dar es...