NHIF YAINGIA MAKUBALIANO YA UDHAMINI WA BIMA VPL
Mfuko wa Bima ya Afya nchini (NHIF) umeingia makubaliano ya udhamini wa bima ya afya kwa wachezaji na viongozi wa benchi la ufundi kwa vilabu 16 vya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Akiongea na waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika leo ofisi za TFF zilizopo Karume, Katibu Mkuu wa TFF Mwesigwa Selestine amesema wanaishukuru NHIF kwa kuwapa udhamini huo ambao utavisaidia vilabu vya Ligi Kuu katika matibabu ya wachezaji na bechi ka ufundi.
Tumekua na kilio...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
BrighterMonday yaingia makubaliano na facebook
TOVUTI ya kutangaza nafasi za kazi ‘BrighterMonday’, imeanza ushirikiano na Facebook internet.org, ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata maudhui kadha ya intaneti. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Tanzania yaingia makubaliano na Algeria
SERIKALI ya Tanzania na Algeria zimeingia makubaliano ya ushirikiano kwenye sekta ya madini na nishati, ambapo wataalamu na watafiti watapata fursa ya kubadilishana uzoefu kupitia sekta hizo ili kujenga uchumi....
5 years ago
MichuziBENKI YA NMB YAJITOSA KWENYE UDHAMINI WA BIMA MARATHON 2020
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kU-8khd9th8/VXnAaCkSCHI/AAAAAAAHezE/H5TFZsb4c9U/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-kU-8khd9th8/VXnAaCkSCHI/AAAAAAAHezE/H5TFZsb4c9U/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TvH1UAP5swE/Uv0wDxNRmxI/AAAAAAAFNBk/C34pdJHWzIY/s72-c/MMG21480.jpg)
TIC YAINGIA MKATABA WA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-TvH1UAP5swE/Uv0wDxNRmxI/AAAAAAAFNBk/C34pdJHWzIY/s1600/MMG21480.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vfub7OvR_Pc/U0VYhZAu1cI/AAAAAAAFZe0/21AApJSXIR4/s72-c/unnamed+(40).jpg)
Twanga pepeta yaingia makubaliano na Proin Promotions kupambana na wezi wa kazi zao
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s72-c/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
YANGA SC YAINGIA MAKUBALIANO YA KUNUNUA NYUMBA KWA AJILI YA WACHEZAJI WAKE NA NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s1600/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
Akizungumza leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF , Crecentius Magori amewaambia wachezaji hao kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha
Dege Kigamboni jijini Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x4mFp7c62ww/VXqYkX4r3wI/AAAAAAAHe3k/rokZHkcdQ5o/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Acacia Mining yaingia makubaliano na halmashauri tatu nchini ya ulipaji wa ushuru wa huduma (Service levy)
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Vitambulisho vya bima ni lulu- NHIF
Afisa wa Mfuko wa Taifa Bima ya Afya (NHIF) mkoa wa Singida, Isaya Shekifu akiwahamasisha madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Singida, juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko huo ili kujihakikishia kupata matibabu hata wakati hawana fedha.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WANACHAMA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoa wa Singida wameaswa kutunza vizuri vitambulisho vyao kwa madai kuwa vitambulisho hivyo ni sawa na kuwa na fedha taslimu.
Afisa wa Mfuko wa Taifa wa...