Twanga pepeta yaingia makubaliano na Proin Promotions kupambana na wezi wa kazi zao
![](http://4.bp.blogspot.com/-vfub7OvR_Pc/U0VYhZAu1cI/AAAAAAAFZe0/21AApJSXIR4/s72-c/unnamed+(40).jpg)
BENDI ya muziki wa dansi nchini ya African Stars 'Twanga Pepeta', wameingia mkataba maalumu na kampuni ya Proin Promotions Limited kwa ajili ya utengenezaji wa kazi zao. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Twanga Pepeta, Asha Baraka, alisema mkataba huo una manufaa kwa bendi hiyo kutokana na kutaka kuwanufaisha wanamuziki na wasanii wa nchini kwa ujumla. Baraka alisema kampuni hiyo ambayo awali ilikuwa ikijishughulisha na usambazaji wa kazi za filamu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-88tcbcU0aAE/VJfVAIFrUnI/AAAAAAAAdic/Krdzhn8LfPA/s72-c/Proin%2BPromotions.jpg)
10 years ago
VijimamboProin Promotions in Belgium - Launching of Tanzania Films Online
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jNUN_n75mfI/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-88tcbcU0aAE/VJfVAIFrUnI/AAAAAAAAdic/Krdzhn8LfPA/s1600/Proin%2BPromotions.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 May
VIDEO: Proin Promotions in Belgium — Launching of Tanzania Films Online
Mwenyekiti wa Proin Group Tanzania ndugu Johnson Lukaza akizungumza machache na kuwashukuru watu wote waliohudhuria uzinduzi wa manunuzi ya filamu za kitanzania kupitia mtandao (online) hapo jana katika ukumbi wa ACP House jijini Brussel nchini Ubelgiji na kuudhuriwa na watu wa mataifa mbalimbali.Uzinduzi huo ulifanywa na balozi wa Tanzania Mheshimiwa Diodorus Kamala.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SkMPsdIvSUk/VhI_waS226I/AAAAAAAAiZM/AQ_XmvRQ7jk/s72-c/proin.jpg)
Mchango wa Proin Promotions ltd katika Kukuza tasnia ya filamu Nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-SkMPsdIvSUk/VhI_waS226I/AAAAAAAAiZM/AQ_XmvRQ7jk/s640/proin.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KgMRUEVv2AY/UybEw4R132I/AAAAAAAAV8s/ARSQJ03nlR4/s72-c/kitendawili.jpg)
10 years ago
GPL10 years ago
MichuziTwanga Pepeta yapania Valentine Day
Mkurugenzi wa bendi hiyo Asha Baraka amesema kuwa pia onyesho hilo watatambulisha nyimbo zao mpya zilizoko kwenye chati. Pia mkurugenzi huyo alisema kuwa bendi hiyo itapiga nyimbo zao zote za zamani zilizovuma wakati huo.
Aliwataka mashabiki wa bendi hiyo kujitokeza kwa wingi kuhudhuria onyesho la aina yake ambalo...