Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yaingia robo fainali CECAFA

Timu ya taifa ya Tanzania bara "Kilimanjaro Stars" imesonga mbele robo fainali ya mashindano ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Michuano yaingia robo fainali

Mashindano ya Cecafa Nile Basin yanaingia robo-fainali Ijumaa na Jumamosi nchini Sudan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Brazil yaingia robo fainali Copa America

Thiago na Firmino wafunga bao kila mmoja na kuisaidia Brazil kujikatia nafasi ya kuingia katika robo fainali ya Copa America

 

9 years ago

BBCSwahili

Robo fainali CECAFA kuanza leo

Michezo ya robo fainali ya michuano ya kombe la Cecafa Chalenji Cup itaanza kutimua vumbi leo huko Adis Ababa Ethiopia.

 

11 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Uganda yatinga robo fainali

Timu ya KCCA ya Uganda imejikatia tiketi ya kusonga mbele katika robo fainali

 

11 years ago

Michuzi

brazil yaingia robo fainali kwa mbinde baada ya kuitoa chile kwa penati

Mtanange ulikuwa  mgumu. Brazil hawakuvutia kabisa. Lakini ilitosha kuwapeleka robo fainali za Kombe la Dunia,  ingawa kwa mbinde,  baada ya kuitoa Chile kwa njia ya penati katika mchezo wako wa raundi ya 16  kwenye uwanja wa Mineirao mjini Horizonte.


Neymer ndiye aliyeweka kimiani bao la ushindi wakati Brazil ikiwa chini kwa mabao 3-2, lakini shujaa wa siku hakuwa yeye bali kipa wao Julio Cesar aliyeokoa mikwaju miwili,

 

5 years ago

Michuzi

SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Tanzania na Kenya nusu fainali

Kilimanjaro Stars watakabiliana uso kwa uso na Harambee Stars nusu fainali ya CECAFA

 

11 years ago

Michuzi

VIJANA WAZIDI KUJIFUA KWA ROBO FAINALI YA DANCE 100% INAYODHAMINIWA NA VODACOM TANZANIA

Hassan Tofi mmoja wa washiriki wa Shindano la Dance 100% wa Kundi la Best Boys la Kigamboni jijini Dar es Salaam,akiwaongoza wenzake katika mazoezi yao yanayofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Upanga ikiwa ni sehemu ya kujindaa na robo fainali ya shindano hilo itakayofanyika Agosti 23 mwezi huu. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania. Washiriki wa shindano la dance 100% wa kundi la Best Boys la Kigamboni jijini Dar es Salaam,wakiwa mazoezini katika viwanja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani