Robo fainali CECAFA kuanza leo
Michezo ya robo fainali ya michuano ya kombe la Cecafa Chalenji Cup itaanza kutimua vumbi leo huko Adis Ababa Ethiopia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Robo fainali Kagame kuanza leo
Hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati Cecafa Kagame Cup itachezwa leo
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
Na Faustine Ruta, BukobaTimu nane zilizosonga mbele kwenye hatua ya Robo Fainali KAGASHEKI CUP 2014 leo zinaanza kuonyeshana ubabe kati ya Mabingwa Watetezi Bilele Fc na Kahororo Fc kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba mjini. Kwa ajili ya kuwania nafasi nne za kuingia hatua ya nusu fainali ya Ligi ya KAGASHEKI CUP Inayotarajiwa kuanza wiki ijayo. Timu ya Bakoba Fc ilipoteza na kutupwa nje kwenye Mashindano baada ya matokeo ya timu ya Kitendaguro kwenda vibaya katika hatua ya Makundi mtanange wa...
11 years ago
GPL
ROBO FAINALI YA KOMBE LA DUNIA KUANZA LEO
Mshambuliaji wa timu ya Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior ' Neymar '. John Joseph na mtandao NJIA ya kuelekea kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2014 inachongwa leo Ijumaa na kesho Jumamosi ambapo kutakuwa na mechi nne za robo fainali.…
11 years ago
BBCSwahili29 May
CECAFA:Michuano yaingia robo fainali
Mashindano ya Cecafa Nile Basin yanaingia robo-fainali Ijumaa na Jumamosi nchini Sudan.
11 years ago
BBCSwahili04 Dec
Tanzania yaingia robo fainali CECAFA
Timu ya taifa ya Tanzania bara "Kilimanjaro Stars" imesonga mbele robo fainali ya mashindano ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA
11 years ago
BBCSwahili14 Aug
CECAFA:Uganda yatinga robo fainali
Timu ya KCCA ya Uganda imejikatia tiketi ya kusonga mbele katika robo fainali
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi.png)
ROBO FAINALI KOMBE LA TAIFA WANAWAKE KUANZA KESHO
.png)
Mechi ya kwanza ya robo fainali ya michuano hiyo itakayooneshwa moja kwa moja na Azam Televisheni itaanza saa 9 alasiri kwa kuzikutanisha Mwanza na Kigoma. Robo fainali ya pili ambayo ni kati ya Tanga na Pwani itaanza saa 11 kamili jioni.
Ilala na Iringa watacheza robo...
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Robo fainali klabu bingwa kupangwa leo
Droo ya kupanga Mechi za robo fainali za uefa champion ligi itafanyika leo Jijini Nyon Uswisi, kuanzia Saa 8 Mchana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania