Robo fainali klabu bingwa kupangwa leo
Droo ya kupanga Mechi za robo fainali za uefa champion ligi itafanyika leo Jijini Nyon Uswisi, kuanzia Saa 8 Mchana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL9 years ago
Bongo505 Oct
Mbwana Samatta aipeleka TP Mazembe fainali ya klabu bingwa barani Afrika
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-N-u2QAIdMZ8/VUjHq4X_dxI/AAAAAAAHVgY/AtbtGosrcho/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni …
Michuano ya klabu Bingwa Dunia imeendelea tena kwa mchezo wa fainali kupigwa katika uwanja wa Nissan, mchezo wa fainali ya klabu Bingwa Dunia umepigwa kwa kuzikutanisha timu mbili klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambaye ni muwakilishi wa bara la Ulaya katika michuano hiyo dhidi ya klabu ya River Plate kutoka bara la America. Huu […]
The post Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video)
Baada ya klabu ya TP Mazembe inayochezewa na washambuliaji wa wawili wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kutolewa katika mashindano ya klabu Bingwa Dunia katika hatua ya robo fainali dhidi ya Sanfrecce kwa goli 3-0, December 17 ilikuwa ni zamu ya Mabingwa wa Ulaya FC Barcelona kutupa karata yao katika hatua ya nusu fainali. […]
The post Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video) appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Robo fainali Kagame kuanza leo
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Robo fainali CECAFA kuanza leo
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Droo ya Klabu Bingwa Ulaya leo