Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RATIBA YA ROBO FAINALI KLABU BINGWA ULAYA 2014

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Robo fainali klabu bingwa kupangwa leo

Droo ya kupanga Mechi za robo fainali za uefa champion ligi itafanyika leo Jijini Nyon Uswisi, kuanzia Saa 8 Mchana.

 

9 years ago

Dewji Blog

KLABU BINGWA ULAYA: Matokeo ya michezo ya jana na ratiba ya leo jamatano Novemba 25!

blj

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea hapo jana Jumanne kwa michezo 8 katika viwanja tofauti tofauti na haya ndiyo matokeo ya michezo hiyo

Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA

GROUP: E

BATE Borisov 1 – 1 Bayer Leverkusen

Barcelona 6 – 1 Roma

GROUP: F

Arsenal 3 – 0 Dinamo Zagreb

Bayern Munich 4 – 0 Olympiakos

GROUP: G

Porto 0 – 2 Dynamo Kyiv

Maccabi Tel Aviv 0 – 4 Chelsea

GROUP: H

Zenit St. Petersburg 2 – 0 Valencia

Lyon 1 – 2 Gent

Ratiba ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali

Capital-One-Cup-1

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.

Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;

Everton 2 – 0 Middlesbrough

Manchester City 4 – 1 Hull City

Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday

Southampton 1 – 6 Liverpool

Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu bingwa barani Ulaya

michuano ya Klabu Bigwa barani Ulaya ,Chelsea imetoa kipigo cha mbwa mwizi .

 

11 years ago

GPL

MAN U, BARCELONA ROBO FAINALI ULAYA

MANCHESTER, England Moyes bana, asema: Man U itakuwa bingwa wa Ulaya
KITENDO cha Robin van Persie, kufunga mabao matatu ‘hat trick’ katika mechi dhidi ya Olympiacos, siyo tu kimempa sifa straika huyo ila kuna mengi nyuma ya pazia ambayo ameweza kuyafunika ndani ya dakika 90 za mechi hiyo ya juzi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Robin van Persie akishangilia moja ya bao lake aliloifungia timu yake katika mechi dhidi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kitimtim michuano ya Klabu Bingwa Ulaya

Michuano ya Klabu Bingwa Ulaya inaendelea tena hii leo kwa timu zile zinacheza round ya kwanza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Droo ya Klabu Bingwa Ulaya leo

Droo ya kupanga mechi za raundi ya mtoano ya timu 16 bora zinazoshiriki klabu bingwa ulaya itapangwa leo mchana huko Nyon, Uswisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani