CECAFA:Michuano yaingia robo fainali
Mashindano ya Cecafa Nile Basin yanaingia robo-fainali Ijumaa na Jumamosi nchini Sudan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Dec
Tanzania yaingia robo fainali CECAFA
5 years ago
Michuzi
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP

TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Brazil yaingia robo fainali Copa America
9 years ago
BBCSwahili30 Nov
Robo fainali CECAFA kuanza leo
11 years ago
BBCSwahili14 Aug
CECAFA:Uganda yatinga robo fainali
11 years ago
MichuziMICHUANO YA HEINEKEN FOOSBALL YAINGIA FAINALI
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi
brazil yaingia robo fainali kwa mbinde baada ya kuitoa chile kwa penati

Neymer ndiye aliyeweka kimiani bao la ushindi wakati Brazil ikiwa chini kwa mabao 3-2, lakini shujaa wa siku hakuwa yeye bali kipa wao Julio Cesar aliyeokoa mikwaju miwili,
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.
Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;
Everton 2 – 0 Middlesbrough
Manchester City 4 – 1 Hull City
Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday
Southampton 1 – 6 Liverpool
Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...