YANGA YATINGA ROBO FAINALI,KMKM YATUPWA NJE CECAFA KAGAME CUP
![](http://img.youtube.com/vi/f1ySam3guuI/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup
TIMU ya Yanga jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Polisi ya humo mabao 4-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zilizopo katika Kundi A ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zao za kwanza, ambapo Yanga iliifunga Jango’mbe kwa mabao 4-0, huku Polisi ikiifunga Shaba ya huko kwa bao 1-0.
Shujaa wa Yanga kwenye mchezo huo alikuwa ni winga wake wa kushoto, Mbrazil Andrey...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Aj47meGGGEQ/VbkBqe8Xz3I/AAAAAAAHsik/_ItUtKpZPQ4/s72-c/MMGL1223.jpg)
YANGA YATUPWA NJE KAGAME CUP, YAPIGWA 5-4 NA AZAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aj47meGGGEQ/VbkBqe8Xz3I/AAAAAAAHsik/_ItUtKpZPQ4/s640/MMGL1223.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ISa5jBn1JOQ/VbkBnHkZ5KI/AAAAAAAHsic/ak8Ug_IjKI8/s640/MMGL1244.jpg)
9 years ago
Habarileo28 Aug
KMKM yatinga robo fainali ya Makocha
MAAFANDE wa timu ya soka ya Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM) wametinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Makocha kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya African Boys.
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
CECAFA:Uganda yatinga robo fainali
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s72-c/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
AZAM, YANGA KUKIPIGA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP KESHO, NANI KUIBUKA KIDEDEA??
![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s640/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jul
KMKM WAMELALA 2 TAIFA YANGA SASA MOJA KWA NOJA ROBO FAINALI KIROHO SAFI
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Malimi-Busunu-2.jpg)
MABINGWA wa kandanda Tanzania bara, Young Africans leo wamefanikiwa kuingia robo fainali baada ya kuwalaza KMKM goli 2 bila majibu, ni Busungu tena amecheka na nyavu na kumfanya kuwa na magoli 3 katika mechi tatu alizocheza. Magoli ya Yanga yalifungwa na Busungu goli moja na Tamwe goli la pili. Kipindi cha kwanza timu zote zilienda mapumziko bila kufungani hali hiyo ilikuwa pressure kwa wanazi wa Yanga kwani kama wange poteza mchezo wa leo basi wange kuwa wamesha toka katika mashindano hayo...
11 years ago
TheCitizen07 Aug
Kagame Cup: Yanga risk Cecafa wrath
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ziNzC5xQUkE/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Arsenal yatinga robo fainali FA