Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA YATINGA ROBO FAINALI,KMKM YATUPWA NJE CECAFA KAGAME CUP


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup

Pg 32 leo

TIMU ya Yanga jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Polisi ya humo mabao 4-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zilizopo katika Kundi A ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zao za kwanza, ambapo Yanga iliifunga Jango’mbe kwa mabao 4-0, huku Polisi ikiifunga Shaba ya huko kwa bao 1-0.
Shujaa wa Yanga kwenye mchezo huo alikuwa ni winga wake wa kushoto, Mbrazil Andrey...

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YATUPWA NJE KAGAME CUP, YAPIGWA 5-4 NA AZAM

Mshambuliaji wa Timu ya Yanga, Donard Ngoma akiichambua ngome ya Timu ya Azama, wakati wa Mchezo wao wa robo fainali ya Mashindano ya Kombe la Kagame, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Azam imeibuka mshindi kwa mikwaju ya penati 5-4, baada ya kutoshana nguvu kwa dakika 90 za mchezo.Mshambuliaji wa Timu ya Azam, John Bocco akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya  Yanga, wakati wa Mchezo wao wa robo fainali ya Mashindano ya Kombe la Kagame, uliopigwa jioni ya...

 

9 years ago

Habarileo

KMKM yatinga robo fainali ya Makocha

MAAFANDE wa timu ya soka ya Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM) wametinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Makocha kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya African Boys.

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Uganda yatinga robo fainali

Timu ya KCCA ya Uganda imejikatia tiketi ya kusonga mbele katika robo fainali

 

10 years ago

Michuzi

AZAM, YANGA KUKIPIGA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP KESHO, NANI KUIBUKA KIDEDEA??

Hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup 2015) inatarajiwa kuendelea kesho Jumatano kwa michezo miwili kuchezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku macho na masikio yakiwa kwenye mchezo kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC.Mechi hiyo ya pili inatarajiwa kuanza saa 10:15 jioni inatarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kufuatia timu hizo mbili zinatotokea jijini Dar es salaam kuwa na upinzani mkali kuanzia katika Ligi Kuu a Vodacom Tanzania na...

 

10 years ago

Vijimambo

KMKM WAMELALA 2 TAIFA YANGA SASA MOJA KWA NOJA ROBO FAINALI KIROHO SAFI


MABINGWA wa kandanda Tanzania bara, Young Africans leo wamefanikiwa kuingia robo fainali baada ya kuwalaza KMKM goli 2 bila majibu, ni Busungu tena amecheka na nyavu na kumfanya kuwa na magoli 3 katika mechi tatu alizocheza. Magoli ya Yanga yalifungwa na Busungu goli moja na Tamwe goli la pili. Kipindi cha kwanza timu zote zilienda mapumziko bila kufungani hali hiyo ilikuwa pressure kwa wanazi wa Yanga kwani kama wange poteza mchezo wa leo basi wange kuwa wamesha toka katika mashindano hayo...

 

11 years ago

TheCitizen

Kagame Cup: Yanga risk Cecafa wrath

>Mainland giants Young Africans are likely to face a Cecafa ban for unveiling a youth side for this year’s Kagame Cup tournament, it has been revealed.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yatinga robo fainali FA

Arsenal imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali na kukomesha safari ya Middlesbrough kwa kuifunga 2-0.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani