YANGA YATUPWA NJE KAGAME CUP, YAPIGWA 5-4 NA AZAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aj47meGGGEQ/VbkBqe8Xz3I/AAAAAAAHsik/_ItUtKpZPQ4/s72-c/MMGL1223.jpg)
Mshambuliaji wa Timu ya Yanga, Donard Ngoma akiichambua ngome ya Timu ya Azama, wakati wa Mchezo wao wa robo fainali ya Mashindano ya Kombe la Kagame, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Azam imeibuka mshindi kwa mikwaju ya penati 5-4, baada ya kutoshana nguvu kwa dakika 90 za mchezo.
Mshambuliaji wa Timu ya Azam, John Bocco akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Yanga, wakati wa Mchezo wao wa robo fainali ya Mashindano ya Kombe la Kagame, uliopigwa jioni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f1ySam3guuI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s72-c/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
AZAM, YANGA KUKIPIGA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP KESHO, NANI KUIBUKA KIDEDEA??
![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s640/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Azam bingwa Kagame Cup
TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao 2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.
Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...
10 years ago
TheCitizen03 Aug
SOCCER : Azam are Kagame Cup champs
10 years ago
TheCitizen21 Jul
Kagame Cup quarters in sight for Azam
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Azam wasiwaangushe CECAFA ‘Kagame Cup’
MOJA ya habari zilizopo katika kurasa za michezo za gazeti hili la leo, ni hatua ya Baraza la Vyama vya Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kuwaalika...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Cecafa yaipa Azam tiketi Kagame Cup
MABINGWA wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC ya jijini Dar es Salaam, wamepata mualiko maalum wa kushiriki michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup),...
10 years ago
MichuziNUSU FAINALI YA MTEMVU CUP YAPIGWA MWEMBE YANGA
11 years ago
TheCitizen12 Jul
Yanga in easy Kagame Cup group