Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA YATUPWA NJE KAGAME CUP, YAPIGWA 5-4 NA AZAM

Mshambuliaji wa Timu ya Yanga, Donard Ngoma akiichambua ngome ya Timu ya Azama, wakati wa Mchezo wao wa robo fainali ya Mashindano ya Kombe la Kagame, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Azam imeibuka mshindi kwa mikwaju ya penati 5-4, baada ya kutoshana nguvu kwa dakika 90 za mchezo.Mshambuliaji wa Timu ya Azam, John Bocco akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya  Yanga, wakati wa Mchezo wao wa robo fainali ya Mashindano ya Kombe la Kagame, uliopigwa jioni ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

AZAM, YANGA KUKIPIGA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP KESHO, NANI KUIBUKA KIDEDEA??

Hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup 2015) inatarajiwa kuendelea kesho Jumatano kwa michezo miwili kuchezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku macho na masikio yakiwa kwenye mchezo kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC.Mechi hiyo ya pili inatarajiwa kuanza saa 10:15 jioni inatarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kufuatia timu hizo mbili zinatotokea jijini Dar es salaam kuwa na upinzani mkali kuanzia katika Ligi Kuu a Vodacom Tanzania na...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam bingwa Kagame Cup

TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao  2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.

Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER : Azam are Kagame Cup champs

It was an eventful and historic afternoon yesterday as hosts Azam FC stunned favourites Gor Mahia of Kenya 2-0 to win their first ever Cecafa Kagame Cup title at the National Stadium.

 

10 years ago

TheCitizen

Kagame Cup quarters in sight for Azam

Azam FC will be seeking to join teams that are through to the quarterfinals of the 2015 Cecafa Kagame Cup when they take on South Sudan’s Malakia at the National Stadium today.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam wasiwaangushe CECAFA ‘Kagame Cup’

MOJA ya habari zilizopo katika kurasa za michezo za gazeti hili la leo, ni hatua ya Baraza la Vyama vya Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kuwaalika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cecafa yaipa Azam tiketi Kagame Cup

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara,  Azam FC ya jijini Dar es Salaam, wamepata mualiko maalum wa kushiriki michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup),...

 

10 years ago

Michuzi

NUSU FAINALI YA MTEMVU CUP YAPIGWA MWEMBE YANGA

 Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wakiwa sambamba na Mbunge Jimbo la Temeke, Mh. Abbas Mtemvu (kati) kwenye viwanja vya Mwembe Yanga wakifuatilia mpambano kati ya timu ya Mtoni dhidi ya Kata ya 14, zilipokuwa zikichuana ambapo katika mchezo huo, Kata ya 14 iliichapa Mtoni  mabao 4-3.
 Mshambuliaji wa timu ya Mtoni, Samwel Salonge  (kulia) akimtoka beki wa timu ya timu ya Kata ya 14,katika mpambano wa Nusu Fainal  ya  Mtemvu Cup  kwenye Uwanja wa Mwembeyanga  Dar es Salaam jana, ...

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga in easy Kagame Cup group

>Mainland giants Young Africans have been handled what many might consider to be a fair draw in the 2014 East and Central Africa Club Championship (Kagame Cup).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani