Kagame Cup quarters in sight for Azam
Azam FC will be seeking to join teams that are through to the quarterfinals of the 2015 Cecafa Kagame Cup when they take on South Sudan’s Malakia at the National Stadium today.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Azam bingwa Kagame Cup
TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao 2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.
Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Azam wasiwaangushe CECAFA ‘Kagame Cup’
MOJA ya habari zilizopo katika kurasa za michezo za gazeti hili la leo, ni hatua ya Baraza la Vyama vya Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kuwaalika...
10 years ago
TheCitizen03 Aug
SOCCER : Azam are Kagame Cup champs
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Cecafa yaipa Azam tiketi Kagame Cup
MABINGWA wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC ya jijini Dar es Salaam, wamepata mualiko maalum wa kushiriki michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup),...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Aj47meGGGEQ/VbkBqe8Xz3I/AAAAAAAHsik/_ItUtKpZPQ4/s72-c/MMGL1223.jpg)
YANGA YATUPWA NJE KAGAME CUP, YAPIGWA 5-4 NA AZAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aj47meGGGEQ/VbkBqe8Xz3I/AAAAAAAHsik/_ItUtKpZPQ4/s640/MMGL1223.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ISa5jBn1JOQ/VbkBnHkZ5KI/AAAAAAAHsic/ak8Ug_IjKI8/s640/MMGL1244.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s72-c/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
AZAM, YANGA KUKIPIGA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP KESHO, NANI KUIBUKA KIDEDEA??
![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s640/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s72-c/MMGL0703.jpg)
AZAM FC YATWAA UBINGWA WA CECAFA KAGAME CUP 2015 KWA KUICHAPA GOR MAHIA YA KENYA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s640/MMGL0703.jpg)
Wachezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es salaam wakisherehekea ubingwa wao wa Kombe la Cecafa Kagame Cup 2015, mara baada ya kuitungua timu ya Gor Mahia ya nchini Kenya Bao 2-0, katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2WFohPZhZl0/Vb5VsqDnH4I/AAAAAAAHtYI/udQI2KGBnpM/s640/MMGL0595.jpg)
11 years ago
TheCitizen08 Jun
Kagame wants ‘enemies of state security’ shot on sight
10 years ago
TheCitizen20 Jul
Players expected to set Cecafa Cup quarters, semis ablaze