AZAM FC YATWAA UBINGWA WA CECAFA KAGAME CUP 2015 KWA KUICHAPA GOR MAHIA YA KENYA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s72-c/MMGL0703.jpg)
Wachezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es salaam wakisherehekea ubingwa wao wa Kombe la Cecafa Kagame Cup 2015, mara baada ya kuitungua timu ya Gor Mahia ya nchini Kenya Bao 2-0, katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo.Balozi wa Rwanda nchini Tanzania,Mhe. Eugene Segore Kayihura (wa pili kulia) akikabidhi kitita cha Dola za Kimarekani eflu 30 kwa Nahodha wa Timu ya Azam FC, John Bocco "Adebayor" ikiwa ni zawadi ya ushindi wa kwanza iliyotolewa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015, YANGA KUKATA UTEPE NA GOR MAHIA TOKA KENYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-vnRVayUBdbk/VZQORzcQ7tI/AAAAAAABBv0/m43evaQ10Ao/s640/CECAFA%2BChairman%2BLeodegar%2BTenga%2B%2528c%2529%2BSecretary%2Bgeneral%2BNicholas%2BmUSONYE%2B%2528L%2529%2Band%2Btff%2Bchairman%2BJamal%2BMalinzi%2Bat%2Bpress%2Bconference%2Bin%2BDAR%2Byesterday.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-24LjQU4Fr4Q/VZQORx9lf3I/AAAAAAABBvw/EmumPpttDaY/s640/CECAFA%2Bleaders%2BNicholas%2Bmusomnye%2B%2528l%2529%252C%2Bleodegar%2Btenga%2Band%2BJamal%2Bmalinzi%2Bat%2BCECAFA%2BPress%2Bconference%2Bin%2BDar%2Byesterday.jpg)
10 years ago
MichuziAZAM YAINGIA FAINALI YA KAGAME 2015, KUCHEZA NA GOR MAHIA
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Ivory Coast yatwaa ubingwa kombe la AFCON 2015 kwa kuichapa Ghana 9-8
Ivory Coast v Ghana Photograph: Khaled Desouki/AFP/Getty Images
And Barry scores!!!!! IVORY COAST ARE 2015 AFRICA CUP OF NATIONS CHAMPIONS.
What an amazing way to finish it. They could not be separated after 90 minutes. They could not be separated after an additional 30. The regular five penalties could not separate them either and it went all the way to the goalkeepers in sudden death. Braimah had his saved by Barry, who then stepped up to score the deciding kick.
Congratulations to Ivory...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dYn2pFzi2e0/Va0RI0Y3dII/AAAAAAAHqqo/tXOPL-qGqhA/s72-c/MMGL0258%2Bcopy.jpg)
KMKM YALALA KWA BAO 3-1 DHIDI YA GOR MAHIA YA KENYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYn2pFzi2e0/Va0RI0Y3dII/AAAAAAAHqqo/tXOPL-qGqhA/s640/MMGL0258%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2v4eE1UIDxM/Va0RHMpA4mI/AAAAAAAHqqk/01RKTv07uFY/s640/MMGL0219%2Bcopy.jpg)
10 years ago
BBCSwahili01 Aug
CECAFA:Gor Mahia kuchuana na Azam
10 years ago
Habarileo01 Aug
Ni Azam, Gor Mahia fainali ya Kagame
AZAM imetinga fainali za kombe la Kagame kwa mara ya pili na sasa itacheza na Gormahia ya Kenya katika fainali zitakazochezwa kesho kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
10 years ago
VijimamboAZAM KUCHEZA FAINALI YA KAGAME NA GOR MAHIA
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Azam wasiwaangushe CECAFA ‘Kagame Cup’
MOJA ya habari zilizopo katika kurasa za michezo za gazeti hili la leo, ni hatua ya Baraza la Vyama vya Soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kuwaalika...