AZAM YAINGIA FAINALI YA KAGAME 2015, KUCHEZA NA GOR MAHIA
Beki wa Azam FC, Abbas Mudathir Yahya akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji wa timu ya KCCA, Hassan Wasswa katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akichuana na beki wa KCCA, Hassan Wasswa katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Beki wa Azam FC, Agrey Morris akichuana na beki wa KCCA,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboAZAM KUCHEZA FAINALI YA KAGAME NA GOR MAHIA
10 years ago
Habarileo01 Aug
Ni Azam, Gor Mahia fainali ya Kagame
AZAM imetinga fainali za kombe la Kagame kwa mara ya pili na sasa itacheza na Gormahia ya Kenya katika fainali zitakazochezwa kesho kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi
AZAM FC YATWAA UBINGWA WA CECAFA KAGAME CUP 2015 KWA KUICHAPA GOR MAHIA YA KENYA BAO 2-0

Wachezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es salaam wakisherehekea ubingwa wao wa Kombe la Cecafa Kagame Cup 2015, mara baada ya kuitungua timu ya Gor Mahia ya nchini Kenya Bao 2-0, katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo.

10 years ago
VijimamboCECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015, YANGA KUKATA UTEPE NA GOR MAHIA TOKA KENYA


10 years ago
Mwananchi01 Aug
Ni Azam vs Gor Mahia
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
CECAFA:Gor Mahia yafuzu nusu fainali
10 years ago
Habarileo30 Jul
Gor Mahia, Khartoum zatangulia nusu fainali
TIMU za Khartoum N ya Sudan na Gor Mahiya ya Kenya, jana zilitangulia kutinga nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame baada ya kushinda mechi zao za robo fainali zilizofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
10 years ago
TheCitizen01 Aug
Azam to face Gor Mahia in final