Gor Mahia, Khartoum zatangulia nusu fainali
TIMU za Khartoum N ya Sudan na Gor Mahiya ya Kenya, jana zilitangulia kutinga nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame baada ya kushinda mechi zao za robo fainali zilizofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
CECAFA:Gor Mahia yafuzu nusu fainali
Mabingwa wa ligi kuu ya soka nchini Kenya, Gor Mahia wameendeleza fomu yao bora katika kombe la CECAFA kwa kuilaza Malakia ya Sudan Kusini kwa magoli mawili kwa moja na kufuzu kwa nusu fainali.
10 years ago
TheCitizen29 Jul
Gor Mahia edge Malakia to set up Al Khartoum clash
Gor Mahia sailed through to the 2015 Cecafa Kagame Cup semifinals after edging out hard-fighting Al Malakia 2-1 in a second quarter-final match at the National Stadium yesterday.
10 years ago
Habarileo01 Aug
Ni Azam, Gor Mahia fainali ya Kagame
AZAM imetinga fainali za kombe la Kagame kwa mara ya pili na sasa itacheza na Gormahia ya Kenya katika fainali zitakazochezwa kesho kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
10 years ago
VijimamboAZAM KUCHEZA FAINALI YA KAGAME NA GOR MAHIA
10 years ago
MichuziAZAM YAINGIA FAINALI YA KAGAME 2015, KUCHEZA NA GOR MAHIA
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Ni Azam vs Gor Mahia
Azam imefanikiwa kutinga fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame mwaka 2015 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, Jumapili baada ya kuifunga KCCA ya Uganda kwa bao 1-0, kwenye mchezo wa nusu fainali uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Esperance 5-0 Gor Mahia (8-2)
Esperance ya Tunisia iliinyeshea Gor Mahia ya Kenya mabao 5-0 katika mechi ya mkondo wa pili ya kuwania ubingwa wa Afrika.
9 years ago
TheCitizen21 Dec
Gor Mahia, KCCA for Mapinduzi
Two foreign teams are expected to compete in the 2016 Mapinduzi Cup kicking off on January 2 in Zanzibar, it has been revealed.
10 years ago
TheCitizen04 Aug
Gor Mahia coach praises his charges
Gor Mahia’s coach Frank Nuttall has praised his players’ character despite losing to Azam in the Cecafa Kagame Cup final. Nuttall said he was impressed by his players’ commitment throughout the tournament despite a 2-0 defeat to Azam in Sunday’s final.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania