Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gor Mahia coach praises his charges

Gor Mahia’s coach Frank Nuttall has praised his players’ character despite losing to Azam in the Cecafa Kagame Cup final. Nuttall said he was impressed by his players’ commitment throughout the tournament despite a 2-0 defeat to Azam in Sunday’s final.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ni Azam vs Gor Mahia

Azam imefanikiwa kutinga fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame mwaka 2015 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, Jumapili baada ya kuifunga KCCA ya Uganda kwa bao 1-0, kwenye mchezo wa nusu fainali uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Esperance 5-0 Gor Mahia (8-2)

Esperance ya Tunisia iliinyeshea Gor Mahia ya Kenya mabao 5-0 katika mechi ya mkondo wa pili ya kuwania ubingwa wa Afrika.

 

9 years ago

TheCitizen

Gor Mahia, KCCA for Mapinduzi

Two foreign teams are expected to compete in the 2016 Mapinduzi Cup kicking off on January 2 in Zanzibar, it has been revealed.

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Gor Mahia yainyamazisha Yanga

Mabingwa wa ligi ya soka nchini Kenya Gor Mahia walitoka nyuma na kuinyamazisha timu ya yanga kutoka Tanzania 2-1 katika mechi yao ya ufunguzi wa kombe la CECAFA katika uwanja wa kitaifa wa Dar es Salaam.

 

11 years ago

TheCitizen

Cecafa salutes Yanga, Gor Mahia

The Council of East and Central Africa Football Associations (Cecafa) has congratulated Young Africans and Gor Mahia for making it to the next round of the Africa club competitions.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba, Gor Mahia dimbani leo

Simba inashuka uwanjani leo kuikabili Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku ikiwakosa wachezaji wake sita walio katika vikosi vya timu za Taifa.

 

10 years ago

GPL

Gor Mahia yamuita Tambwe Nairobi

Amissi Tambwe Na Martha Mboma
UONGOZI wa Gor Mahia ya Kenya, umetuma maombi Simba ukitaka kumchukua Amissi Tambwe kwa mkopo.
Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba zimeeleza, Gor Mahia wamewaambia Simba wawape Tambwe ambaye ni mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu uliopita. Gor Mahia ambao ni mabingwa wa Kenya wanataka Tambwe azibe pengo la Danny Sserunkuma ambaye amejiunga na Simba.Championi Jumatano lilimsaka Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Gor Mahia na Afc Leopards uwanjani

Mechi 8 zimeratibiwa kuchezwa mwishoni mwa wiki hii,ligi kuu ya premia nchini Kenya ikiingia wiki yake ya pili msimu wa 2014.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam, Gor Mahia zaitega Simba

Asali ni tamu, lakini inapowekwa kwenye ncha ya kisu humpa wakati mgumu mtu kuilamba au kutoilamba kwani japo huitamani, lakini pia anaweza kujikuta akikatwa na kisu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani