Gor Mahia coach praises his charges
Gor Mahia’s coach Frank Nuttall has praised his players’ character despite losing to Azam in the Cecafa Kagame Cup final. Nuttall said he was impressed by his players’ commitment throughout the tournament despite a 2-0 defeat to Azam in Sunday’s final.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Ni Azam vs Gor Mahia
Azam imefanikiwa kutinga fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame mwaka 2015 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, Jumapili baada ya kuifunga KCCA ya Uganda kwa bao 1-0, kwenye mchezo wa nusu fainali uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Esperance 5-0 Gor Mahia (8-2)
Esperance ya Tunisia iliinyeshea Gor Mahia ya Kenya mabao 5-0 katika mechi ya mkondo wa pili ya kuwania ubingwa wa Afrika.
9 years ago
TheCitizen21 Dec
Gor Mahia, KCCA for Mapinduzi
Two foreign teams are expected to compete in the 2016 Mapinduzi Cup kicking off on January 2 in Zanzibar, it has been revealed.
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
CECAFA:Gor Mahia yainyamazisha Yanga
Mabingwa wa ligi ya soka nchini Kenya Gor Mahia walitoka nyuma na kuinyamazisha timu ya yanga kutoka Tanzania 2-1 katika mechi yao ya ufunguzi wa kombe la CECAFA katika uwanja wa kitaifa wa Dar es Salaam.
11 years ago
TheCitizen18 Feb
Cecafa salutes Yanga, Gor Mahia
The Council of East and Central Africa Football Associations (Cecafa) has congratulated Young Africans and Gor Mahia for making it to the next round of the Africa club competitions.
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Simba, Gor Mahia dimbani leo
Simba inashuka uwanjani leo kuikabili Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku ikiwakosa wachezaji wake sita walio katika vikosi vya timu za Taifa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcXmljrXAsUgoPg5fRoxXrropogq0hYnxrl2BHD2Z0QdlY5I3ePVEkIBAGtX7BUMC6NYHJSQuR4cXqnTldAqbudy/Untitled1.jpg)
Gor Mahia yamuita Tambwe Nairobi
Amissi Tambwe Na Martha Mboma
UONGOZI wa Gor Mahia ya Kenya, umetuma maombi Simba ukitaka kumchukua Amissi Tambwe kwa mkopo.
Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba zimeeleza, Gor Mahia wamewaambia Simba wawape Tambwe ambaye ni mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu uliopita. Gor Mahia ambao ni mabingwa wa Kenya wanataka Tambwe azibe pengo la Danny Sserunkuma ambaye amejiunga na Simba.Championi Jumatano lilimsaka Mwenyekiti wa...
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Gor Mahia na Afc Leopards uwanjani
Mechi 8 zimeratibiwa kuchezwa mwishoni mwa wiki hii,ligi kuu ya premia nchini Kenya ikiingia wiki yake ya pili msimu wa 2014.
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Azam, Gor Mahia zaitega Simba
Asali ni tamu, lakini inapowekwa kwenye ncha ya kisu humpa wakati mgumu mtu kuilamba au kutoilamba kwani japo huitamani, lakini pia anaweza kujikuta akikatwa na kisu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania