Cecafa salutes Yanga, Gor Mahia
The Council of East and Central Africa Football Associations (Cecafa) has congratulated Young Africans and Gor Mahia for making it to the next round of the Africa club competitions.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
CECAFA:Gor Mahia yainyamazisha Yanga
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
CECAFA:Yanga kumenyana na Gor Mahia
10 years ago
VijimamboCECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015, YANGA KUKATA UTEPE NA GOR MAHIA TOKA KENYA
Rais wa Baraza la Vyama vya Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Leodgar Tenga leo ametangaza kuanza kwa michuano ya kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Julai 18, 2015 na kumalizika Agosti 2 mwaka huu jijii Dar es salaam.
Akiongea na waandishi wa habari leo katika ofisi za TFF zilizopo Karume, Tenga ameishukuru serikali ya Tanzania na TFF kwa kukubali kuwa wenyeji wa michuano hiyo mikubwa, vyombo vya habari na wapenzi wa mpira wa miguu nchini kwa sapoti yao na kuipokea kwa mikono...
10 years ago
BBCSwahili01 Aug
CECAFA:Gor Mahia kuchuana na Azam
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
CECAFA:Gor Mahia yafuzu nusu fainali
10 years ago
MichuziAZAM FC YATWAA UBINGWA WA CECAFA KAGAME CUP 2015 KWA KUICHAPA GOR MAHIA YA KENYA BAO 2-0
Wachezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es salaam wakisherehekea ubingwa wao wa Kombe la Cecafa Kagame Cup 2015, mara baada ya kuitungua timu ya Gor Mahia ya nchini Kenya Bao 2-0, katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo.Balozi wa Rwanda nchini Tanzania,Mhe. Eugene Segore Kayihura (wa pili kulia) akikabidhi kitita cha Dola za Kimarekani eflu 30 kwa Nahodha wa Timu ya Azam FC, John Bocco "Adebayor" ikiwa ni zawadi ya ushindi wa kwanza iliyotolewa na...
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Magufuli aitwa Yanga, Gor Mahia Jumamosi
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Yanga yajitetea kipigo cha Gor Mahia
NAHODHA wa timu ya soka Yanga Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amesema kipicho cha mabao 2-1, walichokipata kutoka kwa Gor Mahia ya Kenya hakiwafanyi washindwe kufanya vizuri.
Yanga imepata kipigo hicho kwenye mechi yao ya kwanza michuano ya Kagame inayoendelea kuchezwa jijini Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Taifa na Kumbukumbu ya Karume.
Akizungumza na Raia Tanzania mara baada ya kumalizika mchezo huo mwishoni mwa wiki iliyopita nahodha huyo alisema wanafahamu changamoto wanazokutana...