Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yajitetea kipigo cha Gor Mahia

NAHODHA wa timu ya soka Yanga Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amesema kipicho cha mabao 2-1, walichokipata kutoka kwa Gor Mahia ya Kenya hakiwafanyi washindwe kufanya vizuri.

Yanga imepata kipigo hicho kwenye mechi yao ya kwanza michuano ya Kagame inayoendelea kuchezwa jijini Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Taifa na Kumbukumbu ya Karume.

Akizungumza na Raia Tanzania mara baada ya kumalizika mchezo huo mwishoni mwa wiki iliyopita nahodha huyo alisema wanafahamu changamoto wanazokutana...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Gor Mahia yainyamazisha Yanga

Mabingwa wa ligi ya soka nchini Kenya Gor Mahia walitoka nyuma na kuinyamazisha timu ya yanga kutoka Tanzania 2-1 katika mechi yao ya ufunguzi wa kombe la CECAFA katika uwanja wa kitaifa wa Dar es Salaam.

 

11 years ago

TheCitizen

Cecafa salutes Yanga, Gor Mahia

The Council of East and Central Africa Football Associations (Cecafa) has congratulated Young Africans and Gor Mahia for making it to the next round of the Africa club competitions.

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Yanga kumenyana na Gor Mahia

Huku michuano ya kombe la CECAFA mwaka huu ikianza siku ya jumamosi mjini Dar es Salaam,mechi tatu zitachezwa lakini kati yazo hakuna iliojaa mbwembwe kama ile ya Yanga ya Tanzania dhidi ya Gor Mahia ya Kenya.

 

10 years ago

Mwananchi

Magufuli aitwa Yanga, Gor Mahia Jumamosi

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Kombe la Kagame kati ya Yanga na Gor Mahia.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA BAADA YA KUGEUZWA MASALO NA GOR MAHIA LEO WAKEUKA MCHARO


Baada ya mchezo wa ufunguzi kugeuzwa chachandu na Gor Mahia kwa kuchapwa 2 kwa 1 leo Yanga wamegeuka mcharo baada ya kuwageuza Telecom ya Djibouti chips mayai 3 na pia wakikosa penati 2. Hili swala la penati limekuwa gonjwa ndani ya miguu ya wachezaji wa timu ya Yanga ukikumbuka hii ni penati ya 3 wanakosa katika michezo miwili, mchezo wa ufunguzi na Gor Mahia walikosa moja na leo wamekosa penati 2 wakosaji wa penati hizo ni Msuva na Tambwe. Nikijana mzarendo aliesajiliwa kutoka Mgambo JKT...

 

10 years ago

Vijimambo

CECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015, YANGA KUKATA UTEPE NA GOR MAHIA TOKA KENYA


Rais wa Baraza la Vyama vya Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Leodgar Tenga leo ametangaza kuanza kwa michuano ya kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Julai 18, 2015 na kumalizika Agosti 2 mwaka huu jijii Dar es salaam.
Akiongea na waandishi wa habari leo katika ofisi za TFF zilizopo Karume, Tenga ameishukuru serikali ya Tanzania na TFF kwa kukubali kuwa wenyeji wa michuano hiyo mikubwa, vyombo vya habari na wapenzi wa mpira wa miguu nchini kwa sapoti yao na kuipokea kwa mikono...

 

10 years ago

Mwananchi

Ni Azam vs Gor Mahia

Azam imefanikiwa kutinga fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame mwaka 2015 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, Jumapili baada ya kuifunga KCCA ya Uganda kwa bao 1-0, kwenye mchezo wa nusu fainali uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Esperance 5-0 Gor Mahia (8-2)

Esperance ya Tunisia iliinyeshea Gor Mahia ya Kenya mabao 5-0 katika mechi ya mkondo wa pili ya kuwania ubingwa wa Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani