Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Esperance 5-0 Gor Mahia (8-2)

Esperance ya Tunisia iliinyeshea Gor Mahia ya Kenya mabao 5-0 katika mechi ya mkondo wa pili ya kuwania ubingwa wa Afrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ni Azam vs Gor Mahia

Azam imefanikiwa kutinga fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame mwaka 2015 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, Jumapili baada ya kuifunga KCCA ya Uganda kwa bao 1-0, kwenye mchezo wa nusu fainali uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

TheCitizen

Gor Mahia, KCCA for Mapinduzi

Two foreign teams are expected to compete in the 2016 Mapinduzi Cup kicking off on January 2 in Zanzibar, it has been revealed.

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Gor Mahia yainyamazisha Yanga

Mabingwa wa ligi ya soka nchini Kenya Gor Mahia walitoka nyuma na kuinyamazisha timu ya yanga kutoka Tanzania 2-1 katika mechi yao ya ufunguzi wa kombe la CECAFA katika uwanja wa kitaifa wa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

GOR MAHIA HAIKAMATIKI YAIFUNGA KMKM 3-1

Mshambuliaji wa KMKM ya Zanzibar, Mateo Simon, akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Gor Mahi ilishinda 3-1. (Picha na Francis Dande).
 Beki wa Gor Mahia, Karim Nizigiyimana akimtoka  Juma Mbwana Faki.

 Mshambuliaji wa KMKM ya Zanzibar, Juma Mbwana Faki akimtoka kipa wa Gor Mahia ya Kenya, Boniface Oluoch.
 Mchezaji wa KMKM, Pandu Haji Pandu akimtoka beki wa Gor Mahia ya Kenya,...

 

10 years ago

GPL

Gor Mahia yamuita Tambwe Nairobi

Amissi Tambwe Na Martha Mboma
UONGOZI wa Gor Mahia ya Kenya, umetuma maombi Simba ukitaka kumchukua Amissi Tambwe kwa mkopo.
Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba zimeeleza, Gor Mahia wamewaambia Simba wawape Tambwe ambaye ni mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu uliopita. Gor Mahia ambao ni mabingwa wa Kenya wanataka Tambwe azibe pengo la Danny Sserunkuma ambaye amejiunga na Simba.Championi Jumatano lilimsaka Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba, Gor Mahia dimbani leo

Simba inashuka uwanjani leo kuikabili Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku ikiwakosa wachezaji wake sita walio katika vikosi vya timu za Taifa.

 

10 years ago

Habarileo

Ni Azam, Gor Mahia fainali ya Kagame

AZAM imetinga fainali za kombe la Kagame kwa mara ya pili na sasa itacheza na Gormahia ya Kenya katika fainali zitakazochezwa kesho kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam to face Gor Mahia in final

Azam FC booked a place in the final of the 2015 Cecafa Kagame Cup after beating hard-fighting KCCA of Uganda 1-0 at the National Stadium yesterday.

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Gor Mahia kuchuana na Azam

Kilabu ya Azam kutoka Tanzania imefuzu katika fainali ya kombe la Kagame CeCAFA baada ya kuindoa KCCA ya Uganda kwa bao moja kwa bila katika mechi ya nusu fainali ya pili iliochezwa katika uwanja wa kitaifa wa Dar-es-Salaam nchini Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani