CECAFA:Gor Mahia kuchuana na Azam
Kilabu ya Azam kutoka Tanzania imefuzu katika fainali ya kombe la Kagame CeCAFA baada ya kuindoa KCCA ya Uganda kwa bao moja kwa bila katika mechi ya nusu fainali ya pili iliochezwa katika uwanja wa kitaifa wa Dar-es-Salaam nchini Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s72-c/MMGL0703.jpg)
AZAM FC YATWAA UBINGWA WA CECAFA KAGAME CUP 2015 KWA KUICHAPA GOR MAHIA YA KENYA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s640/MMGL0703.jpg)
Wachezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es salaam wakisherehekea ubingwa wao wa Kombe la Cecafa Kagame Cup 2015, mara baada ya kuitungua timu ya Gor Mahia ya nchini Kenya Bao 2-0, katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2WFohPZhZl0/Vb5VsqDnH4I/AAAAAAAHtYI/udQI2KGBnpM/s640/MMGL0595.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Jul
CECAFA:Gor Mahia yainyamazisha Yanga
Mabingwa wa ligi ya soka nchini Kenya Gor Mahia walitoka nyuma na kuinyamazisha timu ya yanga kutoka Tanzania 2-1 katika mechi yao ya ufunguzi wa kombe la CECAFA katika uwanja wa kitaifa wa Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili18 Jul
CECAFA:Yanga kumenyana na Gor Mahia
Huku michuano ya kombe la CECAFA mwaka huu ikianza siku ya jumamosi mjini Dar es Salaam,mechi tatu zitachezwa lakini kati yazo hakuna iliojaa mbwembwe kama ile ya Yanga ya Tanzania dhidi ya Gor Mahia ya Kenya.
11 years ago
TheCitizen18 Feb
Cecafa salutes Yanga, Gor Mahia
The Council of East and Central Africa Football Associations (Cecafa) has congratulated Young Africans and Gor Mahia for making it to the next round of the Africa club competitions.
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
CECAFA:Gor Mahia yafuzu nusu fainali
Mabingwa wa ligi kuu ya soka nchini Kenya, Gor Mahia wameendeleza fomu yao bora katika kombe la CECAFA kwa kuilaza Malakia ya Sudan Kusini kwa magoli mawili kwa moja na kufuzu kwa nusu fainali.
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Ni Azam vs Gor Mahia
Azam imefanikiwa kutinga fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame mwaka 2015 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, Jumapili baada ya kuifunga KCCA ya Uganda kwa bao 1-0, kwenye mchezo wa nusu fainali uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
VijimamboCECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015, YANGA KUKATA UTEPE NA GOR MAHIA TOKA KENYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-vnRVayUBdbk/VZQORzcQ7tI/AAAAAAABBv0/m43evaQ10Ao/s640/CECAFA%2BChairman%2BLeodegar%2BTenga%2B%2528c%2529%2BSecretary%2Bgeneral%2BNicholas%2BmUSONYE%2B%2528L%2529%2Band%2Btff%2Bchairman%2BJamal%2BMalinzi%2Bat%2Bpress%2Bconference%2Bin%2BDAR%2Byesterday.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-24LjQU4Fr4Q/VZQORx9lf3I/AAAAAAABBvw/EmumPpttDaY/s640/CECAFA%2Bleaders%2BNicholas%2Bmusomnye%2B%2528l%2529%252C%2Bleodegar%2Btenga%2Band%2BJamal%2Bmalinzi%2Bat%2BCECAFA%2BPress%2Bconference%2Bin%2BDar%2Byesterday.jpg)
10 years ago
TheCitizen01 Aug
Azam to face Gor Mahia in final
Azam FC booked a place in the final of the 2015 Cecafa Kagame Cup after beating hard-fighting KCCA of Uganda 1-0 at the National Stadium yesterday.
10 years ago
Habarileo01 Aug
Ni Azam, Gor Mahia fainali ya Kagame
AZAM imetinga fainali za kombe la Kagame kwa mara ya pili na sasa itacheza na Gormahia ya Kenya katika fainali zitakazochezwa kesho kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania