KMKM YALALA KWA BAO 3-1 DHIDI YA GOR MAHIA YA KENYA
Beki wa Timu ya Gor Mahia ya Nchini Kenya, Harun Shakava (18) akizuia mpira uliokuwa ukimilikiwa na Kiungo wa Timu ya KMKM ya Zanzibar, Iddi Kambi Iddi (6) wakati wa mtanange wa Mashindano ya Cecafa Kagame Cup uliopigwa jioni hii kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Gor Mahia imeshinda bao 3-1.Wachezaji wa Timu ya Gor Mahia ya Nchini Kenya, Aucho Khalid (10) na Karim Nizigiyimana (14) wakishangilia ushindi wao dhidi ya timu ya KMKM ya Zanzibar, katika mtanange wa Mashindano ya Cecafa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziAZAM FC YATWAA UBINGWA WA CECAFA KAGAME CUP 2015 KWA KUICHAPA GOR MAHIA YA KENYA BAO 2-0
Wachezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es salaam wakisherehekea ubingwa wao wa Kombe la Cecafa Kagame Cup 2015, mara baada ya kuitungua timu ya Gor Mahia ya nchini Kenya Bao 2-0, katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo.Balozi wa Rwanda nchini Tanzania,Mhe. Eugene Segore Kayihura (wa pili kulia) akikabidhi kitita cha Dola za Kimarekani eflu 30 kwa Nahodha wa Timu ya Azam FC, John Bocco "Adebayor" ikiwa ni zawadi ya ushindi wa kwanza iliyotolewa na...
10 years ago
VijimamboGOR MAHIA HAIKAMATIKI YAIFUNGA KMKM 3-1
Beki wa Gor Mahia, Karim Nizigiyimana akimtoka Juma Mbwana Faki.
Mshambuliaji wa KMKM ya Zanzibar, Juma Mbwana Faki akimtoka kipa wa Gor Mahia ya Kenya, Boniface Oluoch.
Mchezaji wa KMKM, Pandu Haji Pandu akimtoka beki wa Gor Mahia ya Kenya,...
11 years ago
TheCitizen09 Aug
KMKM, Atlabara share spoils as Gor Mahia slump to defeat
10 years ago
GPLSIMBA NI BALAA YAILAZA BAO TATU GOR MAHIA
10 years ago
MichuziSTARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YALALA KWA BAO 1-0
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.kikosi cha Taifa Stars.Swaziland...
10 years ago
MichuziSIMBA YAITUNGUA GOR MAHIA BAO 3-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
Ramadhani Singano 'Messi' akichuana na beki wa Gor Mahia ya Kenya.
Golikipa...
10 years ago
BBCSwahili09 Nov
Gor Mahia ndio mabingwa wa ligi kenya
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Olunga wa Gor Mahia ashinda tuzo kuu Kenya
10 years ago
VijimamboCECAFA YATOA RATIBA YA KAGAME 2015, YANGA KUKATA UTEPE NA GOR MAHIA TOKA KENYA
Rais wa Baraza la Vyama vya Soka kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, Leodgar Tenga leo ametangaza kuanza kwa michuano ya kombe la Kagame itakayoanza kutimua vumbi Julai 18, 2015 na kumalizika Agosti 2 mwaka huu jijii Dar es salaam.
Akiongea na waandishi wa habari leo katika ofisi za TFF zilizopo Karume, Tenga ameishukuru serikali ya Tanzania na TFF kwa kukubali kuwa wenyeji wa michuano hiyo mikubwa, vyombo vya habari na wapenzi wa mpira wa miguu nchini kwa sapoti yao na kuipokea kwa mikono...