SIMBA NI BALAA YAILAZA BAO TATU GOR MAHIA
Kikosi cha Simba FC kilichoanza mechi ya leo dhidi ya Gor Mahia katika mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kikosi cha timu ya Gor Mahia mabingwa wa Kenya.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSIMBA YAITUNGUA GOR MAHIA BAO 3-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dYn2pFzi2e0/Va0RI0Y3dII/AAAAAAAHqqo/tXOPL-qGqhA/s72-c/MMGL0258%2Bcopy.jpg)
KMKM YALALA KWA BAO 3-1 DHIDI YA GOR MAHIA YA KENYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYn2pFzi2e0/Va0RI0Y3dII/AAAAAAAHqqo/tXOPL-qGqhA/s640/MMGL0258%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2v4eE1UIDxM/Va0RHMpA4mI/AAAAAAAHqqk/01RKTv07uFY/s640/MMGL0219%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s72-c/MMGL0703.jpg)
AZAM FC YATWAA UBINGWA WA CECAFA KAGAME CUP 2015 KWA KUICHAPA GOR MAHIA YA KENYA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-9POSW8MFFKc/Vb5Vu6LuP5I/AAAAAAAHtYg/j17jK4kS36c/s640/MMGL0703.jpg)
Wachezaji wa timu ya Azam FC ya jijini Dar es salaam wakisherehekea ubingwa wao wa Kombe la Cecafa Kagame Cup 2015, mara baada ya kuitungua timu ya Gor Mahia ya nchini Kenya Bao 2-0, katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2WFohPZhZl0/Vb5VsqDnH4I/AAAAAAAHtYI/udQI2KGBnpM/s640/MMGL0595.jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Simba, Gor Mahia dimbani leo
Simba inashuka uwanjani leo kuikabili Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku ikiwakosa wachezaji wake sita walio katika vikosi vya timu za Taifa.
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Azam, Gor Mahia zaitega Simba
Asali ni tamu, lakini inapowekwa kwenye ncha ya kisu humpa wakati mgumu mtu kuilamba au kutoilamba kwani japo huitamani, lakini pia anaweza kujikuta akikatwa na kisu.
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Simba yarudi Dar kuikabili Gor Mahia
Timu ya Simba inarudi jijini Dar es Salaam kesho kwa ajili ya mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, huku kocha Patrick Phiri akitarajia kuwatumia washambuliaji wake wapya wa kigeni Mkenya Raphael Kiongera na Mganda Emanuel Okwi.
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Esperance 5-0 Gor Mahia (8-2)
Esperance ya Tunisia iliinyeshea Gor Mahia ya Kenya mabao 5-0 katika mechi ya mkondo wa pili ya kuwania ubingwa wa Afrika.
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Ni Azam vs Gor Mahia
Azam imefanikiwa kutinga fainali ya mashindano ya Kombe la Kagame mwaka 2015 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, Jumapili baada ya kuifunga KCCA ya Uganda kwa bao 1-0, kwenye mchezo wa nusu fainali uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
9 years ago
TheCitizen21 Dec
Gor Mahia, KCCA for Mapinduzi
Two foreign teams are expected to compete in the 2016 Mapinduzi Cup kicking off on January 2 in Zanzibar, it has been revealed.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania