AZAM, YANGA KUKIPIGA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP KESHO, NANI KUIBUKA KIDEDEA??
![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s72-c/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
Hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup 2015) inatarajiwa kuendelea kesho Jumatano kwa michezo miwili kuchezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku macho na masikio yakiwa kwenye mchezo kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC.Mechi hiyo ya pili inatarajiwa kuanza saa 10:15 jioni inatarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kufuatia timu hizo mbili zinatotokea jijini Dar es salaam kuwa na upinzani mkali kuanzia katika Ligi Kuu a Vodacom Tanzania na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f1ySam3guuI/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Azam FC watinga robo fainali Kagame
MABINGWA wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC, jana walifanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame), baada ya kuichapa...
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup
TIMU ya Yanga jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Polisi ya humo mabao 4-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zilizopo katika Kundi A ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zao za kwanza, ambapo Yanga iliifunga Jango’mbe kwa mabao 4-0, huku Polisi ikiifunga Shaba ya huko kwa bao 1-0.
Shujaa wa Yanga kwenye mchezo huo alikuwa ni winga wake wa kushoto, Mbrazil Andrey...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod2k1RXxi7th5*XFdibhDIUydpR0nqkN0foNiuO1g*aDLUhczvVAVD2uB9Lwgzxw2L8sVtm5yL-6njUJGLijSSeL/ArsenalVsChelsea.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjNhKAeqNEzw83BQuQMK66GuLCO3C9kLJbmXEvgMnBYpa18aVzwCLJ1cGg0UYfULfnnZCfCclDTybG092DMgOkzl/MANUVSARSENAL.jpg)
NANI KUIBUKA KIDEDEA LEO, MAN UTD AU ARSENAL?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Aj47meGGGEQ/VbkBqe8Xz3I/AAAAAAAHsik/_ItUtKpZPQ4/s72-c/MMGL1223.jpg)
YANGA YATUPWA NJE KAGAME CUP, YAPIGWA 5-4 NA AZAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aj47meGGGEQ/VbkBqe8Xz3I/AAAAAAAHsik/_ItUtKpZPQ4/s640/MMGL1223.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ISa5jBn1JOQ/VbkBnHkZ5KI/AAAAAAAHsic/ak8Ug_IjKI8/s640/MMGL1244.jpg)
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Robo fainali Kagame kuanza leo