KMKM yatinga robo fainali ya Makocha
MAAFANDE wa timu ya soka ya Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM) wametinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Makocha kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya African Boys.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f1ySam3guuI/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Arsenal yatinga robo fainali FA
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
CECAFA:Uganda yatinga robo fainali
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup
TIMU ya Yanga jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Polisi ya humo mabao 4-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zilizopo katika Kundi A ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zao za kwanza, ambapo Yanga iliifunga Jango’mbe kwa mabao 4-0, huku Polisi ikiifunga Shaba ya huko kwa bao 1-0.
Shujaa wa Yanga kwenye mchezo huo alikuwa ni winga wake wa kushoto, Mbrazil Andrey...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlrxqCztzncLikIIolafLTochZGj88lo1vVIRNGySxWDVJJji2p1fTCJz8rdGt9dH53GzbrD9n9P5FhIoblRHHH/brazil3.jpg?width=650)
BRAZIL YATINGA ROBO FAINALI KWA MATUTA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GdVJdXbfLO4/XlV1bRz8HmI/AAAAAAALfa0/XA1kn_9ACGghfryMTafkirHLTu1PyiUrACLcBGAsYHQ/s72-c/4a8cc55f-1888-46fe-acac-f2162a8fa30e.jpg)
SAHARE UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA AZAM
Na Zainab Nyamka, Michuzi TV.
Kocha wa timu ya Sahare All Stars Kessy Abdalla amesema wamejipanga kucheza na timu yoyote watakayopangiwa nayo kwenye mchezo wa robo fainali ya Kombe la Azam ASFC.
Hayo ameyasema baada ya kumalizika kwa mchezo wa hatua ya 16 bora baada ya kuibuka na ushindi wa goli 5-2 dhidi ya Panama Fc ya Jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ambapo Sahare All Stars waliweza kuibuka na ushindi huo mnono.
Kocha Abdalla amesema kuwa wao wanaamini...
10 years ago
Vijimambo24 Jul
KMKM WAMELALA 2 TAIFA YANGA SASA MOJA KWA NOJA ROBO FAINALI KIROHO SAFI
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Malimi-Busunu-2.jpg)
MABINGWA wa kandanda Tanzania bara, Young Africans leo wamefanikiwa kuingia robo fainali baada ya kuwalaza KMKM goli 2 bila majibu, ni Busungu tena amecheka na nyavu na kumfanya kuwa na magoli 3 katika mechi tatu alizocheza. Magoli ya Yanga yalifungwa na Busungu goli moja na Tamwe goli la pili. Kipindi cha kwanza timu zote zilienda mapumziko bila kufungani hali hiyo ilikuwa pressure kwa wanazi wa Yanga kwani kama wange poteza mchezo wa leo basi wange kuwa wamesha toka katika mashindano hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...