Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRAZIL YATINGA ROBO FAINALI KWA MATUTA

Wachezaji wa Brazil wakishangilia baada ya kushinda kwa penalti 3-2 dhidi ya Chile. ...Mashabiki  Brazil wakishangiia. Wachezaji wa timu ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Matuta yatawala robo fainali Sekondari Dar

MASHINDANO maalumu yanayozikutanisha shule 12 za sekondari za jijini Dar es Salaam yameingia nusu fainali kwa staili ya aina yake baada ya timu zote zilizotinga hatua hiyo kushinda kwa changamoto...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yatinga robo fainali FA

Arsenal imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali na kukomesha safari ya Middlesbrough kwa kuifunga 2-0.

 

9 years ago

Habarileo

KMKM yatinga robo fainali ya Makocha

MAAFANDE wa timu ya soka ya Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM) wametinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Makocha kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya African Boys.

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Uganda yatinga robo fainali

Timu ya KCCA ya Uganda imejikatia tiketi ya kusonga mbele katika robo fainali

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup

Pg 32 leo

TIMU ya Yanga jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Polisi ya humo mabao 4-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zilizopo katika Kundi A ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zao za kwanza, ambapo Yanga iliifunga Jango’mbe kwa mabao 4-0, huku Polisi ikiifunga Shaba ya huko kwa bao 1-0.
Shujaa wa Yanga kwenye mchezo huo alikuwa ni winga wake wa kushoto, Mbrazil Andrey...

 

5 years ago

Michuzi

SAHARE UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA AZAM


Na Zainab Nyamka, Michuzi TV.

Kocha wa timu ya Sahare All Stars Kessy Abdalla amesema wamejipanga kucheza na timu yoyote watakayopangiwa nayo kwenye mchezo wa robo fainali ya Kombe la Azam ASFC.

Hayo ameyasema baada ya kumalizika kwa mchezo wa hatua ya 16 bora baada ya kuibuka na ushindi wa goli 5-2 dhidi ya Panama Fc ya Jijini Dar es Salaam.

Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ambapo Sahare All Stars waliweza kuibuka na ushindi huo mnono.

Kocha Abdalla amesema kuwa wao wanaamini...

 

11 years ago

Michuzi

brazil yaingia robo fainali kwa mbinde baada ya kuitoa chile kwa penati

Mtanange ulikuwa  mgumu. Brazil hawakuvutia kabisa. Lakini ilitosha kuwapeleka robo fainali za Kombe la Dunia,  ingawa kwa mbinde,  baada ya kuitoa Chile kwa njia ya penati katika mchezo wako wa raundi ya 16  kwenye uwanja wa Mineirao mjini Horizonte.


Neymer ndiye aliyeweka kimiani bao la ushindi wakati Brazil ikiwa chini kwa mabao 3-2, lakini shujaa wa siku hakuwa yeye bali kipa wao Julio Cesar aliyeokoa mikwaju miwili,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani