KMKM WAMELALA 2 TAIFA YANGA SASA MOJA KWA NOJA ROBO FAINALI KIROHO SAFI
MABINGWA wa kandanda Tanzania bara, Young Africans leo wamefanikiwa kuingia robo fainali baada ya kuwalaza KMKM goli 2 bila majibu, ni Busungu tena amecheka na nyavu na kumfanya kuwa na magoli 3 katika mechi tatu alizocheza. Magoli ya Yanga yalifungwa na Busungu goli moja na Tamwe goli la pili. Kipindi cha kwanza timu zote zilienda mapumziko bila kufungani hali hiyo ilikuwa pressure kwa wanazi wa Yanga kwani kama wange poteza mchezo wa leo basi wange kuwa wamesha toka katika mashindano hayo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f1ySam3guuI/default.jpg)
9 years ago
Habarileo28 Aug
KMKM yatinga robo fainali ya Makocha
MAAFANDE wa timu ya soka ya Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo (KMKM) wametinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Makocha kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya African Boys.
10 years ago
Vijimambo08 Feb
NDIYO HABARI YA MJINI SASA KIROHO SAFI
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/OMMY_DIMPOZ.jpg)
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/WEMA_SEPETU65.jpg)
Alianza Ommy na badae akafuta Wema ambae aliweka picha hizo jana usiku na kuwatakia followers wake usiku mwema.
Penzi la watu hawa linaendelea kuzua mvutano mkali kati ya wale ambao wanaona sawa na wale ambao wanaona kama sio sawa, wanaosema sawa wanasema,baada ya watu kuachana kila mmoja ana haki ya kula maisha na anaempenda hivyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-g9svs89s-cg/VKAeG2DiIDI/AAAAAAAG6I4/68D5nF0qGIs/s72-c/MMGM0023.jpg)
PICHA ZA MTANANGE WA YANGA NA AZAM JITIRIRISHE CHINI KIROHO SAFI
![](http://3.bp.blogspot.com/-g9svs89s-cg/VKAeG2DiIDI/AAAAAAAG6I4/68D5nF0qGIs/s640/MMGM0023.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2Kwgz3zarCM/VKAeoxZQAyI/AAAAAAAG6JQ/ItX1PYQGu3c/s640/MMGM0029.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J-0mRLz0tKE/VKAehgr3wyI/AAAAAAAG6JI/knEbPiLwA8Q/s640/MMGM0068.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EDiEIppEHzc/VKAeSDIeKCI/AAAAAAAG6JA/M0Pzgqw3vj4/s640/MMGM0072.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z1rZfg-4nns/VKAer8jtKwI/AAAAAAAG6JY/qzPTl8ymsm8/s640/MMGM0086.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PhqI_JykH0g/VKAevdm4aLI/AAAAAAAG6Jg/93UIQFZcQmw/s640/MMGM0090.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X1MGYS4MSPs/VMUSvtWiJFI/AAAAAAAG_c8/fcMEv2KNPiQ/s72-c/Tanzania_FF_(logo).png)
ROBO FAINALI KOMBE LA TAIFA WANAWAKE KUANZA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-X1MGYS4MSPs/VMUSvtWiJFI/AAAAAAAG_c8/fcMEv2KNPiQ/s1600/Tanzania_FF_(logo).png)
Mechi ya kwanza ya robo fainali ya michuano hiyo itakayooneshwa moja kwa moja na Azam Televisheni itaanza saa 9 alasiri kwa kuzikutanisha Mwanza na Kigoma. Robo fainali ya pili ambayo ni kati ya Tanga na Pwani itaanza saa 11 kamili jioni.
Ilala na Iringa watacheza robo...
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup
TIMU ya Yanga jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Polisi ya humo mabao 4-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zilizopo katika Kundi A ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zao za kwanza, ambapo Yanga iliifunga Jango’mbe kwa mabao 4-0, huku Polisi ikiifunga Shaba ya huko kwa bao 1-0.
Shujaa wa Yanga kwenye mchezo huo alikuwa ni winga wake wa kushoto, Mbrazil Andrey...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EmaCP-GG5EQ/VPCJO___fgI/AAAAAAAApHM/OzIK9-nPEo8/s72-c/chekecha.png)
JITIRIRISHE NA HII KUTOKA KWA KIBA FOR REALLY KIROHO SAFI
![](http://4.bp.blogspot.com/-EmaCP-GG5EQ/VPCJO___fgI/AAAAAAAApHM/OzIK9-nPEo8/s640/chekecha.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s72-c/MMGL0060.jpg)
MECHI YA YANGA NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAPIGWA HIVI SASA UWANJA WA TAIFA,YANGA INAONGOZA KWA BAO 2-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s1600/MMGL0060.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hHVq_w2pie4/VN9YDWa4n6I/AAAAAAAHDu8/Y3X4I_cge8g/s1600/MMGL0098.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s72-c/MMG29815.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s1600/MMG29815.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9hsgcHyJetE/Uu5LX_potSI/AAAAAAAFKVA/hw8mmxNyb4Y/s1600/MMG29823.jpg)