Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CECAFA:Tanzania na Kenya nusu fainali

Kilimanjaro Stars watakabiliana uso kwa uso na Harambee Stars nusu fainali ya CECAFA

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

nusu fainali Cecafa :Uganda, Ethiopia

Timu ya Taifa ya Uganda na Wenyeji Ethiopia zimekua timu za kwanza kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Cecafa 2015

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Gor Mahia yafuzu nusu fainali

Mabingwa wa ligi kuu ya soka nchini Kenya, Gor Mahia wameendeleza fomu yao bora katika kombe la CECAFA kwa kuilaza Malakia ya Sudan Kusini kwa magoli mawili kwa moja na kufuzu kwa nusu fainali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya na Sudan kumenyana fainali cecafa

Timu za Kenya na Sudan zimefuzu kucheza fainali za CECAFA 2013 baada ya kushinda mechi zao za nusu fainali

 

11 years ago

Mwananchi

Stars kuivaa Kenya nusu fainali

Ushujaa wa kipa namba moja wa Kilimanjaro Stars, Ivo Mapunda umeivua ubingwa Uganda na kuiingiza Stars nusu fainali ya Kombe la Chalenji

 

10 years ago

BBCSwahili

Voliboli:Kenya yafuzu kwa nusu fainali

Kenya imefuzu kwa nusu fainali ya mchuano wa voliboli ya wanawake ya Grand Prix baada ya kuwanyamazisha Algeria seti 3-2 kwao

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yaingia robo fainali CECAFA

Timu ya taifa ya Tanzania bara "Kilimanjaro Stars" imesonga mbele robo fainali ya mashindano ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA

 

10 years ago

Michuzi

MAZABE POWDER WATAMBA KUINGIA NUSU FAINALI YA DANCE 100%CHINI YA VODACOM TANZANIA

Kikundi cha Mazabe Powder cha kwandevu Tegeta jijini Dar es Salaam,kinachoshiriki shindano la Dance 100% wakielekee mazoezini kujindaa na robofainali itakayofanyika Agosti 23 mwezi huu. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania. Washiriki wa shindano la dance 100% wa kundi la Mazabe Powder la kwandevu Tegeta jijini Dar es Salaam,wakiwa mazoezini kujiandaa kwa mchuano wa robo fainali itakayofanyika Agosti 23 mwezi huu. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na...

 

10 years ago

GPL

MAZABE POWDER WATAMBA KUINGIA NUSU FAINALI YA DANCE 100% CHINI YA VODACOM TANZANIA‏

Kikundi cha Mazabe Powder cha kwandevu Tegeta jijini Dar es Salaam,kinachoshiriki shindano la Dance 100% wakielekee mazoezini  kujindaa na  robofainali itakayofanyika Agosti  23 mwezi huu. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Washiriki wa shindano la dance 100% wa kundi la Mazabe Powder la kwandevu Tegeta jijini Dar es Salaam,wakiwa mazoezini kujiandaa kwa mchuano wa robo fainali...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya na Tanzania zafuta machozi Cecafa

Kenya na Tanzania zilifuta machozi ya kubanduliwa kutoka mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa kuandikisha ushindi mechi zao za kwanza Cecafa nchini Ethiopia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani