Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


nusu fainali Cecafa :Uganda, Ethiopia

Timu ya Taifa ya Uganda na Wenyeji Ethiopia zimekua timu za kwanza kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Cecafa 2015

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Tanzania na Kenya nusu fainali

Kilimanjaro Stars watakabiliana uso kwa uso na Harambee Stars nusu fainali ya CECAFA

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Gor Mahia yafuzu nusu fainali

Mabingwa wa ligi kuu ya soka nchini Kenya, Gor Mahia wameendeleza fomu yao bora katika kombe la CECAFA kwa kuilaza Malakia ya Sudan Kusini kwa magoli mawili kwa moja na kufuzu kwa nusu fainali.

 

9 years ago

BBC

Ethiopia and Uganda into Cecafa semis

Hosts Ethiopia need penalties to qualify for the Cecafa Senior Challenge Cup semi-finals, Uganda advance too as Farouk Miya scores again.

 

9 years ago

Mwananchi

NUSU FAINALI CHALENJI: Yanga, Simba vitani Ethiopia

Licha ya Tanzania kutolewa katika mashindano  ya Chalenji yanayoingia nusu fainali leo, bado macho na masikio ya mashabiki wa soka nchini yatakuwa  kwa nyota wa Yanga, Simba na Azam wanaoziwakilisha Rwanda, Uganda.

 

10 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Uganda yatinga robo fainali

Timu ya KCCA ya Uganda imejikatia tiketi ya kusonga mbele katika robo fainali

 

11 years ago

GPL

STARS YAIVUA UBINGWA UGANDA, YATINGA NUSU FAINALI CHALENJI

TIMU ya Kilimanjaro Stars imefanikiwa kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali baada ya kuwatoa Mabingwa watetezi wa Kombe hilo Uganda kwa ushindi wa changamoto ya penalti 3-2 katika michuano ya kombe la Chalenji inayoendelea jijini Nairobi, nchini Kenya lakini shujaa akiwa kipa Ivo Mapunda . Katika mchezo huo uliopigwa katika Uwanja wa Manispaa ya mji wa Mombasa nchini Kenya, Uganda ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali

Capital-One-Cup-1

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.

Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;

Everton 2 – 0 Middlesbrough

Manchester City 4 – 1 Hull City

Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday

Southampton 1 – 6 Liverpool

Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...

 

10 years ago

BBC

Ethiopia step in as Cecafa hosts

Ethiopia step in to replace Rwanda as hosts of the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup, the east and central African regional championship.

 

11 years ago

BBC

Ethiopia to host 2014 Cecafa Cup

The Council for East and Central African Football Associations confirms Ethiopia will host the 2014 Senior Challenge Cup.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani