STARS YAIVUA UBINGWA UGANDA, YATINGA NUSU FAINALI CHALENJI
![](http://api.ning.com:80/files/HfUvPSttO0I5OPqdx44Kzq2wn7fqAHjinTcKQI7baQr2bif*jjyBGcjnqnyHGHTfqKVHEJ5Q-T1IXfSnlXmD3jrVgBV*GY0g/STAZ.jpg?width=650)
TIMU ya Kilimanjaro Stars imefanikiwa kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali baada ya kuwatoa Mabingwa watetezi wa Kombe hilo Uganda kwa ushindi wa changamoto ya penalti 3-2 katika michuano ya kombe la Chalenji inayoendelea jijini Nairobi, nchini Kenya lakini shujaa akiwa kipa Ivo Mapunda . Katika mchezo huo uliopigwa katika Uwanja wa Manispaa ya mji wa Mombasa nchini Kenya, Uganda ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kr5CgqBcRjE/VfzUp3blfhI/AAAAAAAH6AI/HQ1CnZMQqTE/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Timu ya soka ya wasichana ya Temeke yatinga Nusu fainali michuano ya Airtel Rising Stars
![](http://2.bp.blogspot.com/-kr5CgqBcRjE/VfzUp3blfhI/AAAAAAAH6AI/HQ1CnZMQqTE/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NSsOsn7_sJg/VfzUphEmQHI/AAAAAAAH6AE/uq2q4SBiokg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEeTvJLE1hjXwfx8s5QCp3gofca82xKiKY8CkvNN0W*EJCoDU05nKYmVM88p7c5il6VDzsLOSmvP6uK0OojQAa9zdC3IpM0F/ZAMBIA.jpg?width=550)
ZAMBIA NAO WATINGA NUSU FAINALI CHALENJI
9 years ago
Mwananchi03 Dec
NUSU FAINALI CHALENJI: Yanga, Simba vitani Ethiopia
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Ghana yatinga nusu Fainali
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Simba yatinga nusu Fainali ya Mapinduzi
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Liverpool yatinga nusu fainali Capital one
LIVEPOOL, ENGLAND
KIKOSI cha kocha Jurgen Klopp, Liverpool, imekuwa timu ya mwisho kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Capital One.
Klabu hiyo imeingia hatua hiyo baada ya kuichapa timu ya Southampton kichapo kitakatifu cha mabao 6-1.
Southampton walikuwa wa kwanza kupata bao la mapema katika dakika ya kwanza ya mchezo huo kupitia kwa mshambuliaji wake, Sadio Mane na kuanza kuwachanganya wapinzani wao, lakini mfumo wa Klopp uliweza kubadilisha matokeo.
Mshambuliaji wa...
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Makundi 10 yatinga nusu fainali Dansi 100%
MAKUNDI 10 ya vijana ambao wanashindana katika umahiri wa kucheza muziki, maarufu kama Dance 100%, mwishoni mwa wiki yaliingia hatua ya nusu fainali katika mchuano mkali uliofanyika katika Uwanja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xnbMmirPTnI/VMzdrHEfxEI/AAAAAAAHAhs/0q2dhNNblHI/s72-c/taswa%2Bfc%2Bby%2Bmafoto%2Bblog.jpg)
Taswa FC yatinga nusu fainali Asas Dairies bonanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-xnbMmirPTnI/VMzdrHEfxEI/AAAAAAAHAhs/0q2dhNNblHI/s1600/taswa%2Bfc%2Bby%2Bmafoto%2Bblog.jpg)