NUSU FAINALI CHALENJI: Yanga, Simba vitani Ethiopia
Licha ya Tanzania kutolewa katika mashindano ya Chalenji yanayoingia nusu fainali leo, bado macho na masikio ya mashabiki wa soka nchini yatakuwa kwa nyota wa Yanga, Simba na Azam wanaoziwakilisha Rwanda, Uganda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Yanga, Simba, Azam zatia mkono fainali Kombe la Chalenji
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEeTvJLE1hjXwfx8s5QCp3gofca82xKiKY8CkvNN0W*EJCoDU05nKYmVM88p7c5il6VDzsLOSmvP6uK0OojQAa9zdC3IpM0F/ZAMBIA.jpg?width=550)
ZAMBIA NAO WATINGA NUSU FAINALI CHALENJI
9 years ago
Habarileo29 Nov
Stars kuivaa Ethiopia robo fainali Chalenji
TIMU ya soka Taia ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ itacheza na Ethiopia katika robo fainali ya Kombe la Chalenji kesho.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfUvPSttO0I5OPqdx44Kzq2wn7fqAHjinTcKQI7baQr2bif*jjyBGcjnqnyHGHTfqKVHEJ5Q-T1IXfSnlXmD3jrVgBV*GY0g/STAZ.jpg?width=650)
STARS YAIVUA UBINGWA UGANDA, YATINGA NUSU FAINALI CHALENJI
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
nusu fainali Cecafa :Uganda, Ethiopia
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Chalenji yazivurugia Yanga, Simba, Azam
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Simba yatinga nusu Fainali ya Mapinduzi
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Yanga, Azam, Simba vitani
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
LIGI Kuu ya Tanzania Bara inaendelea leo kwa mechi sita katika viwanja tofauti huku Yanga ikiikaribisha Azam FC katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Yanga, Azam na Simba zitakuwa zikicheza kusaka ushindi katika mechi zao ili zijiweke katika nafasi nzuri katika mbio za kuwania taji la Ligi Kuu Tanzania Bara.
Yanga ina pointi 15 sawa na Azam lakini inaongoza kwa kupachika mabao 13 huku Azam ikiwa na mabao 9, hivyo kila moja itakuwa ikisaka ushindi ili kuongoza...
9 years ago
Habarileo12 Dec
Azam, Yanga, Simba vitani
LEO ni vita ya namba. Baada ya mapumziko ya mwezi mmoja michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara itaendelea kutimua vumbi katika viwanja sita tofauti, huku Simba, Azam FC na Yanga kila moja ikiingia katika vita ya namba kusaka pointi tatu muhimu.