Chalenji yazivurugia Yanga, Simba, Azam
Mashindano ya Kombe la Chalenji yaliyoanza jana nchini Ethiopia yamedaiwa kuathiri kwa kiasi kikubwa programu na mipango ya timu za Ligi Kuu, Yanga, Simba na Azam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Yanga, Simba, Azam zatia mkono fainali Kombe la Chalenji
9 years ago
Mwananchi03 Dec
NUSU FAINALI CHALENJI: Yanga, Simba vitani Ethiopia
9 years ago
Habarileo12 Dec
Azam, Yanga, Simba vitani
LEO ni vita ya namba. Baada ya mapumziko ya mwezi mmoja michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara itaendelea kutimua vumbi katika viwanja sita tofauti, huku Simba, Azam FC na Yanga kila moja ikiingia katika vita ya namba kusaka pointi tatu muhimu.
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Simba, Azam ni kikwazo Yanga
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Yanga, Simba, Azam mawindoni
NA WAANDISHI WETU
VIGOGO wa soka nchini timu za Simba, Yanga na Azam, leo zinatarajiwa kushuka dimbani katika viwanja tofauti kuchuana vikali katika mechi za mwendelezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), iliyoanza kutimua vumbi Jumamosi iliyopita.
Mabingwa watetezi wa ligi hiyo Yanga, wapo kileleni kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa huku wapinzani wao, Simba na Azam wakifuatia jambo linalofanya ushindani wa mechi za leo kuwa mkubwa kutokana na timu hizo kuwa kwenye vita ya...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Yanga, Azam, Simba usipime
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Vita ya Yanga, Azam, Simba
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
TIMU za Yanga, Azam na Simba, leo zinaingia kibaruani kwa mara nyingine katika viwanja tofauti katika raundi ya 12 ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Yanga, wao watakuwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kuwakabili Stand United ya Shinyanga.
Yanga, wanaoongoza ligi hiyo wakiwa na pointi 27 baada ya kucheza mechi 11, wanashuka dimbani wakitokea mkoani Tanga, ambako wamecheza mechi mbili baina ya Mgambo Shooting na Africans Sports,...
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Yanga,Simba,Azam zapeta