Vita ya Yanga, Azam, Simba
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
TIMU za Yanga, Azam na Simba, leo zinaingia kibaruani kwa mara nyingine katika viwanja tofauti katika raundi ya 12 ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Yanga, wao watakuwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kuwakabili Stand United ya Shinyanga.
Yanga, wanaoongoza ligi hiyo wakiwa na pointi 27 baada ya kucheza mechi 11, wanashuka dimbani wakitokea mkoani Tanga, ambako wamecheza mechi mbili baina ya Mgambo Shooting na Africans Sports,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Ni vita Yanga, Azam
KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinatarajiwa kuendelea tena leo katika viwanja viwili kwa timu ya Yanga kuwakaribisha Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Wakati Yanga...
9 years ago
Habarileo05 Jan
Yanga, Azam ni vita
MIAMBA ya Ligi Kuu Bara, Yanga na Azam leo itashuka kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa kumenyana katika mechi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. Mechi hiyo inatarajiwa kuwa ya vuta nikuvite huku kila timu ikitaka kuonesha ubabe kwa mwenzie baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 katika mechi ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu bara mwaka jana.
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Azam, Yanga vita ya kisasi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7q0MBC44VmYCkOcR1*OPHXTRvDTmtiwLxFG8n7oLUG9-ciT74PW*eDHOFvoFYBrJQW6HvIeS974Y80sGmAfpqlc/kibadeni.jpg?width=650)
Kibadeni azitangazia vita Simba, Yanga
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Vita ya Simba ya Sh400m dhidi ya Yanga ya 800m
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Simba, Azam ni kikwazo Yanga
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Yanga, Azam, Simba usipime