Vita ya Simba ya Sh400m dhidi ya Yanga ya 800m
Sahau kabisa kuhusu siasa za Ukawa na CCM na wagombea wao, Edward Lowassa na Dk John Magufuli, ambazo zimekuwa gumzo siku hizi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Vita ya Yanga, Azam, Simba
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
TIMU za Yanga, Azam na Simba, leo zinaingia kibaruani kwa mara nyingine katika viwanja tofauti katika raundi ya 12 ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Yanga, wao watakuwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kuwakabili Stand United ya Shinyanga.
Yanga, wanaoongoza ligi hiyo wakiwa na pointi 27 baada ya kucheza mechi 11, wanashuka dimbani wakitokea mkoani Tanga, ambako wamecheza mechi mbili baina ya Mgambo Shooting na Africans Sports,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u325ipbpd7q0MBC44VmYCkOcR1*OPHXTRvDTmtiwLxFG8n7oLUG9-ciT74PW*eDHOFvoFYBrJQW6HvIeS974Y80sGmAfpqlc/kibadeni.jpg?width=650)
Kibadeni azitangazia vita Simba, Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x9KBpl7z4r*IAaSOBAVEXkhIuNbb6nZwn9bS86lbfJ7z4SdEyweQrGEdAfgLnfG1a2YbBFo-kgQmqa5CxjgcJT-xh4j2lSY7/bloggerimage1609090308.jpg)
SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA YANGA TAIFA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9hNL8D8wZyk/XtDWe66YWEI/AAAAAAALr-A/mHZmihtNvDonNjH8xlJ-l4Rp2b5cYSuUACLcBGAsYHQ/s72-c/yanga-sc-vs-simba-sc-of-tanzania_x4n7nlmxk7ae1pc63schtfr7d.jpg)
SIMBA YAPEWA AZAM, YANGA DHIDI YA KAGERA KOMNE LA ASFC
![](https://1.bp.blogspot.com/-9hNL8D8wZyk/XtDWe66YWEI/AAAAAAALr-A/mHZmihtNvDonNjH8xlJ-l4Rp2b5cYSuUACLcBGAsYHQ/s640/yanga-sc-vs-simba-sc-of-tanzania_x4n7nlmxk7ae1pc63schtfr7d.jpg)
Upangaji huo umerushwa moja kwa moja na kituo cha Azam na kusimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF).
Katika mchezo wa kwanza, Simba Watakutana na Azam ikiaminiwa ni kuwa mchezo wenye ushindani mkubwa sana kutokana na historia ya mchezo wa ligi uliopita.
Mchezo wa pili utakuwa ni Yanga wakiwakaribisha Kagera...
10 years ago
Michuzi14 Dec
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s72-c/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s400/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...