magoli ya simba dhidi ya yanga katika mechi ya mtani jembe jana
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRdnSDpwvfpW-sX0WYKUOmLig7gTSsyyHCv2lEVQLFodftVXBZzfSfwmRZ1w9UakjyjhDrUZeRRUT9FOp*IP48Ps/simbaaa.jpg?width=640)
LIVE MECHI YA MTANI JEMBE: SIMBA 2 - 0 YANGA
Simba line up: Ivo Mapunda, Haruna Shamte, Issa Rashid, Joseph Owino, Donald Musoti, Jonas Mkude, Haruna Chanongo, Henry Joseph, Amisi Tambwe, Said Hamis na Awadh Juma. Yanga line up: Juma Kaseja - 29,Mbuyu Twite - 6 ,David Luhende - 3,Nadir Haroub "Cannavaro" - 23(C),Kelvin Yondani "Cotton" - 5, Athuman Idd " Chuji" - 24, Mrisho Ngassa - 17, Frank Domayo - 18, Didier Kavumbagu - 7, Hamis Kiiza - 20, Haruna Niyonzima - 8
...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/PM1Rh7PyfXw/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-g017uWM0tBc/VQ61KO3TFRI/AAAAAAAHMKU/4dNACVxj2-I/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Simba yaifunga ya 5-4 katika mechi ya nani mtani jembe dubai
Kikosi cha Simba kimetoka kidedea kwa bao 5-4 kwenye match ya watani wa jadi Yanga katika mechi ya Nani Mtani Jembe huko Dubai.Mpambano huo uliokuwa mkali sana ulianza kwa Yanga kupata penalty 2 kwa mpigi lakini moja iliokolewa na goal keeper na nahodha wa Simba Ali Yusuf. Magoli ya Simba yalifungwa na Matama Chesama (DJ Tama) 3, Tariq Mbarak 1,na Thani 1.magoli ya Yanga yalifungwa Yunus 2, Waleed 1, na Kulwa 1.Yanga imeendelea kuwa mteja wa Simba Sports club hadi huko Dubai.
Kikosi cha...
![](http://2.bp.blogspot.com/-g017uWM0tBc/VQ61KO3TFRI/AAAAAAAHMKU/4dNACVxj2-I/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ov_z2YnkL4k/VDtZAMPZmUI/AAAAAAAAnmY/gypLLHhBxCo/s72-c/M2.jpg)
KABURU NA BINDA WAWAONGOZA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KATIKA NANI MTANI JEMBE JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ov_z2YnkL4k/VDtZAMPZmUI/AAAAAAAAnmY/gypLLHhBxCo/s1600/M2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cLdj2CMUlLM/VDtY_wi12pI/AAAAAAAAnmU/ZZF86DFiYXM/s1600/M%2B1%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yEJrYSNiyJQ/VDtY_wjYKvI/AAAAAAAAnm8/GTtJR5Bx2dE/s1600/M%2B3%2B(2).jpg)
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Cheki video ya magoli ya Azam FC dhidi ya Yanga katika mechi ambayo ilikuwa ya kukamiana …
Mtu wangu wa nguvu kama kawaida naendelea kukusogezea kila kitu kinachonifikia kutoka Zanzibar katika michuano ya Kombe la Mapinduzi. Usiku wa January 5 ulipigwa mchezo wa nne wa Kundi B kwa kuzikutanisha timu za Yanga dhidi ya Azam FC katika dimba la Amaan. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusoogezee video ya magoli ya mchezo huo […]
The post Cheki video ya magoli ya Azam FC dhidi ya Yanga katika mechi ambayo ilikuwa ya kukamiana … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
VijimamboSIMBA 2 YANGA 0 NANI MTANI JEMBE
![](http://2.bp.blogspot.com/-zc3yk_i8aEQ/VIxCRc87vwI/AAAAAAAAZUI/4nVjtHY24O0/s1600/454955_heroa.jpg)
Goli la pili la Simba limeweka wavuna na Elius Maguli na kuifanya Yanga kuzidi kutweta huku Simba wakizidi kuliandama lango la Yanga.
Mchezo huo wa kuania kombe la Nani Mtani Jembe 2014 bado unaendelea Uwanja wa Taifa jijini...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-hfjTr5iVads/VIxPUJbFAxI/AAAAAAACUQY/yfBp7SauJqg/s72-c/02.jpg)
MPIRA UKWISHA SIMBA 2 YANGA 0 NANI MTANI JEMBE
![](http://api.ning.com/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hfjTr5iVads/VIxPUJbFAxI/AAAAAAACUQY/yfBp7SauJqg/s640/02.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKMx2WqnBcw/VIxPZUhiqsI/AAAAAAACUQo/KVRBWirmDHs/s640/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x5CZ_BUu0io/VIxPXjF7mhI/AAAAAAACUQg/bQvAVL06D48/s640/03.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cRMcw7Nv0OE/VIxPa6JFppI/AAAAAAACUQw/EF_Xdw3jRpA/s640/04.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg?width=650)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/U4XRt1fB2HU/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania