Yanga, Simba, Azam zatia mkono fainali Kombe la Chalenji
Rwanda na Uganda zitakutana Jumamosi katika fainali ambayo itawakutanisha kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima na kiungo wa Azam, Jean Baptiste Mugiraneza na beki wa Simba, Juuko Murshid na hivyo kuwa kivutio kwa mashabiki wa klabu hizo kubwa nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Dec
NUSU FAINALI CHALENJI: Yanga, Simba vitani Ethiopia
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Chalenji yazivurugia Yanga, Simba, Azam
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Kombe la Mapinduzi lilete tija Yanga, Azam, Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrvT8ZigpHppbsXF7xw*bdebYCRVUUDZkl6DnspOLPDK4VK2d2MBQRz8eL-xuc6caBBNK4tVYrXlx5jBKpdB0Jt/SIMBANAYANGA35.jpg?width=650)
KUWAONA SIMBA NA YANGA BUKU 5, AZAM KUKABIDHIWA KOMBE CHAMAZI
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …
Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]
The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GdVJdXbfLO4/XlV1bRz8HmI/AAAAAAALfa0/XA1kn_9ACGghfryMTafkirHLTu1PyiUrACLcBGAsYHQ/s72-c/4a8cc55f-1888-46fe-acac-f2162a8fa30e.jpg)
SAHARE UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA AZAM
Na Zainab Nyamka, Michuzi TV.
Kocha wa timu ya Sahare All Stars Kessy Abdalla amesema wamejipanga kucheza na timu yoyote watakayopangiwa nayo kwenye mchezo wa robo fainali ya Kombe la Azam ASFC.
Hayo ameyasema baada ya kumalizika kwa mchezo wa hatua ya 16 bora baada ya kuibuka na ushindi wa goli 5-2 dhidi ya Panama Fc ya Jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ambapo Sahare All Stars waliweza kuibuka na ushindi huo mnono.
Kocha Abdalla amesema kuwa wao wanaamini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsrJ3a9Oy1cjX2-A79KODGwbxxoHuIogfEk3zhtvrPeClBEVeH1Rtuf5Z-y7u6JePKCve0cAIKrFsn-oxMuPBiSr/2SIMBAVSKCC1.jpg?width=650)
HALF TIME FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI: SIMBA 0, KCC 1
10 years ago
Vijimambo10 Jan
SIMBA, MTIBWA SUGAR ZAKUTANA FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/IMG_4303.jpg)