Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZAMBIA NAO WATINGA NUSU FAINALI CHALENJI

Wachezaji wa Zambia wakishangilia ushindi. Timu ya Zambia nayo imefanikiwa kutinga nusu fainali michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea nchini Kenya baada ya kuiondoa timu ya Burundi kwa penalti 4-3 muda mfupi uliopita! Mechi hiyo ilimalizika 0-0 katika muda wa kawaida wa dakika 90.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

NUSU FAINALI CHALENJI: Yanga, Simba vitani Ethiopia

Licha ya Tanzania kutolewa katika mashindano  ya Chalenji yanayoingia nusu fainali leo, bado macho na masikio ya mashabiki wa soka nchini yatakuwa  kwa nyota wa Yanga, Simba na Azam wanaoziwakilisha Rwanda, Uganda.

 

11 years ago

GPL

STARS YAIVUA UBINGWA UGANDA, YATINGA NUSU FAINALI CHALENJI

TIMU ya Kilimanjaro Stars imefanikiwa kusonga mbele hatua ya Nusu Fainali baada ya kuwatoa Mabingwa watetezi wa Kombe hilo Uganda kwa ushindi wa changamoto ya penalti 3-2 katika michuano ya kombe la Chalenji inayoendelea jijini Nairobi, nchini Kenya lakini shujaa akiwa kipa Ivo Mapunda . Katika mchezo huo uliopigwa katika Uwanja wa Manispaa ya mji wa Mombasa nchini Kenya, Uganda ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bayern na Barcelona,watinga Nusu Fainali

Klabu za Bayern Myunik ya Ujerumani na Barcelona ya Hispania zimetinga nusu Fainali katika ligi ya Mabingwa barani Ulaya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Setif,TP Mazembe watinga nusu fainali

Michunao ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Afrika sawa na CS Sfaxien ya Tunisia

 

10 years ago

BBCSwahili

Djokovic; Serena watinga nusu fainali.

Novak Djokovic na Serena William wametinga nusu fainali ya michuano ya tennis ya US Open

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yaibwaga Zambia yaingia nusu fainali

Nigeria yaibamiza Zambia mabao sita kwa nunge katika michuano ya klabu bingwa barani Africa upande wa wanawake

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014 - KAGONDO FC WATINGA NUSU FAINALI KWA KUIFUNGA IJUGANYONDO KWA MIKWAJU YA PENATI 4-3

Wachezaji wa Timu ya Kagondo Fc wakimpongeza mchezaji wao aliyewapa ushindi wa kwenda hatua ya Nusu fainali Abdallatifu Khamis juu kwa juu.
Kufungwa kubaya!!! Wachezaji wa Timu ya Ijuganyondo wakitoka Uwanjani wakiwa hawana hamu. Kwa picha zaidi na Faustine Ruta BOFYA HAPA

 

9 years ago

Habarileo

Kili Stars yapangwa na Ethiopia, Zambia Chalenji

TIMU ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ imepangwa kundi moja na wenyeji Ethiopia pamoja na Zambia katika michuano ya Chalenji mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani