Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria yaibwaga Zambia yaingia nusu fainali

Nigeria yaibamiza Zambia mabao sita kwa nunge katika michuano ya klabu bingwa barani Africa upande wa wanawake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAKUNDI KUMI YAINGIA NUSU FAINALI YA DANSI 100%

Kikundi cha  Quality Boys cha Kinondoni jijini Dar es salaam, kikionyesha umahiri  wao wa wakati wa robo fainali ya shindano la Dance100%  lililofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Oysterbay  jijini Dar es Salaam .Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania  mshindi wa shindano hilo atajinyakulia kitita cha shilingi milioni 5.…
...

 

10 years ago

Vijimambo

Timu ya Jimbo la Mkunazini Yaingia Nusu Fainali Kombe la Bonaza la Masauni Cup

Kamanda wa Vijana akikagua timu ya Muembeladu wakati wa mchezo wa mwisho wa Bonaza la Masauni Cup.linalofanyika uwanja wa malindi Zanzibar, Mchezo huo umeshindwa kumalizika kutokana na Viongozi wa timu ya Muembeladu kuitoa timu yao kwa madai ya mchezaji wa timu ya Mkunazini kudaiwa kumpiga mpenzi wa timu hiyo.Kamanda wa Vijana akikagua timu ya Mkunazini wakati wa mchezo wa mwisho wa Bonaza la Masauni Cup.linalofanyika uwanja wa malindi Zanzibar, Mchezo huo umeshindwa kumalizika kutokana na...

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Jimbo la Mkunazini Yaingia Nusu Fainali Kombe la Bonaza la Masauni Cup Unguja

Kikosi cha timu ya Mwembeladu kilicho shindwa kumaliza mchezo wao wa mwisho na timu ya Mkunazini timu hii ilihitaji ushindi wa mabao 3--0 ili kuweza kusonga mbele ya Bonaza hilo kuingia nusu fainali, mchezo huo umemalizi kabla ya wakati wake zikiwa zimebaki dakika 4 mchezo kumalizika.  Kikosi cha timu ya Mkunazini kinachotinga Nusu Fainali  usiku wa kuamkia leo  katika viwanja vya Mnazi Mmoja na Timu ya Kikwajuni Juu. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

ZAMBIA NAO WATINGA NUSU FAINALI CHALENJI

Wachezaji wa Zambia wakishangilia ushindi. Timu ya Zambia nayo imefanikiwa kutinga nusu fainali michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea nchini Kenya baada ya kuiondoa timu ya Burundi kwa penalti 4-3 muda mfupi uliopita! Mechi hiyo ilimalizika 0-0 katika muda wa kawaida wa dakika 90.

 

10 years ago

Michuzi

BURUDANI FC YAINGIA NUSU FAINALI, YAIONDOSHA KILUVYA UTD KWA PENATI KWENYE DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP

4Michuano ya DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP hatua ya robo fainali imeendelea  kwenye uwanja wa bandari maeneo ya Tandika Mwembeyanga kwa kuzikutanisha timu za Burudani Fc ya Temeke mikoroshini dhidi ya Kiluvya Utd kutoka mkoani PwaniMchezo huo umemalizika kwa timu hizo kushindwa kufungana baada ya dakika 90 ikabidi changamoto ya mikwaju ya penati itumike kumpata mshindi na timu ya Burudani ikafanikiwa kupata mikwaju minne dhidi ya miwili ya kiluvya,golikipa Abraham Abdallah wa Burudani...

 

10 years ago

Bongo5

‘Nusu Nusu’ ya Joh Makini yaingia kwenye Official African Chart ya MTV Base

Joh Makini anazidi kupaa juu zaidi. Video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu’ aliyomshirikisha G-Nako, imeingia kwenye ‘Official African Chart’ ya MTV Base. Video hiyo iliyofanyika nchini Afrika Kusini imekamata nafasi ya 8 wiki hii. Huo ni wimbo wa kwanza wa Joh Makini kuwahi kuingia kwenye chart hizo. Video hiyo pia inafanya vizuri kwenye kituo cha […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali

Capital-One-Cup-1

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.

Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;

Everton 2 – 0 Middlesbrough

Manchester City 4 – 1 Hull City

Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday

Southampton 1 – 6 Liverpool

Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...

 

11 years ago

Michuzi

MICHUANO YA HEINEKEN FOOSBALL YAINGIA FAINALI

Mkurugenzi mkuu wa Heineken Tanzania,Uche Unigwe (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya Dola Elfu 10 za kimarekani kwa Mmiliki wa Bar ya Didi's,Bwana Hillary ikiwa ni zawadi kwa washindi wa fainali za Mchezo wa Heineken Foosball.Katikati ni washindi hao ambao ni  Ntoli Mwaikambo na Eric Duncan Lissa. Wachezaji wa timu ya Didis, Eric Duncan Lissa (wa kwanza kushoto) akiwa na mwenzake Ntoli Mwaikambo wakichuana vikali na Said Duche (wa kwanza kulia) na Abdala Kassim wa Hasadam...

 

11 years ago

BBCSwahili

CECAFA:Michuano yaingia robo fainali

Mashindano ya Cecafa Nile Basin yanaingia robo-fainali Ijumaa na Jumamosi nchini Sudan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani