Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bayern na Barcelona,watinga Nusu Fainali

Klabu za Bayern Myunik ya Ujerumani na Barcelona ya Hispania zimetinga nusu Fainali katika ligi ya Mabingwa barani Ulaya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BAYERN MUNICH, BARCELONA ZATINGA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia ushindi wao dhidi FC Porto jana. Neymar (juu) akishangilia na Mbrazil mwenzake Dani Alves baada ya kufunga bao la pili jana. Robert Lewandowski akiifungia Bayern bao la tatu dakika ya 27.…

 

10 years ago

GPL

BAYERN MUNICH KUKWAANA NA BARCELONA KATIKA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO

MECHI:     Bayern Munich vs Barcelona LIGI:         Ligi ya Mabingwa Ulaya HATUA:    Nusu Fainali MUDA:     Saa 3:45 usiku UWANJA: Allianz Arena

 

10 years ago

BBCSwahili

Djokovic; Serena watinga nusu fainali.

Novak Djokovic na Serena William wametinga nusu fainali ya michuano ya tennis ya US Open

 

11 years ago

BBCSwahili

Setif,TP Mazembe watinga nusu fainali

Michunao ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Afrika sawa na CS Sfaxien ya Tunisia

 

11 years ago

GPL

ZAMBIA NAO WATINGA NUSU FAINALI CHALENJI

Wachezaji wa Zambia wakishangilia ushindi. Timu ya Zambia nayo imefanikiwa kutinga nusu fainali michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea nchini Kenya baada ya kuiondoa timu ya Burundi kwa penalti 4-3 muda mfupi uliopita! Mechi hiyo ilimalizika 0-0 katika muda wa kawaida wa dakika 90.

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014 - KAGONDO FC WATINGA NUSU FAINALI KWA KUIFUNGA IJUGANYONDO KWA MIKWAJU YA PENATI 4-3

Wachezaji wa Timu ya Kagondo Fc wakimpongeza mchezaji wao aliyewapa ushindi wa kwenda hatua ya Nusu fainali Abdallatifu Khamis juu kwa juu.
Kufungwa kubaya!!! Wachezaji wa Timu ya Ijuganyondo wakitoka Uwanjani wakiwa hawana hamu. Kwa picha zaidi na Faustine Ruta BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

WATOTO 15 WATINGA FAINALI ZA SHINDANO LA "MO KIDS GOT TALENT 2013", FAINALI KUFANYIKA LEO JIONI LEDGER PLAZA - BAHARI BEACH‏

Lango kuu la kuingilia kwenye Hoteli ya Ledger Plaza Bahari Beach jijini Dar panapofanyika shindano kali la kusaka kipaji cha SUPA STAA wa watoto na vijana! la "MO Kids Got Talent 2013" Chief Judge wa Shindano la vipaji vya watoto na vijana wadogo la “MO Kids Got Talent”, Salma Mziray, akitoa maoni yake kwa baadhi ya washiriki walioingia semi finals za shindano hilo linalofanyika kwenye hotel ya Ledger Plaza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani